Sheria ya uzanzibari ukaazi imetungwa lini?Mkuu Gagi, hili liko straight forward wala halihitaji tafsiri yoyote ya kisheria. Muungano wetu ni muungano very unique. Kwa upande mmoja, kitaifa na kimataifa, muungano wetu ni union, hivyo Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye rais mmoja, rais wa JMT, uraia mmoja tuu, uraia wa JMT, na raia wote wa JMT wana haki sawa. Lakini ndani ya muungano, muungano wetu ni federation, wenye nchi mbili, marais wawili na uraia wa aina mbili. Raia wa JMT na Ukaazi wa Zanzibar. Wazanzibari wote ni Watanzania na haki zote za uraia, ikiwemo kuajiriwa kuteuliwa kuongoza taasisi yoyote. Ila kwa upande wa Zanzibar, wenye haki ya kuajiriwa ni Wazanzibari wakaazi pekee.
P
Naamini kipindi cha mwalimu haikuwepo