Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
- Thread starter
- #41
Aisee,Ni sahihi kabisa kwa Mzanzibari kuongoza taasisi ambayo sio ya muungano kwasababu kila Mzanzibar ni Mtanzania, hivyo ana haki zote za Watanzania wengine wote. Ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari, hivyo wenye haki kuongoza taasisi za Zanzibar ni Wazanzibari pekee.
P
Mkuu hivi ndo ilivyokaa ama umeamua wewe?
Mambo ambayo siyo ya Muungano ni mambo yanayohusu Tanganyika japo yatakuwa chini ya Rais wa muungano na hayahusu Zanzibar. Inakuwaje Mzanzibar ni Mtanzania lakini Manganyika si Mtanzania wakat Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.