Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
- Thread starter
-
- #101
Yaani kwa fair game siyo issue. Lakini in reality haijakaa sawa na inakaa sawa kama italazimishwa. Hiki ndo kinachomaanishwa. Hakuna equality ktk hiliSio wewe tuu, ni wengi wetu, uwezo wa uelewa simple things kama hii, ya Wanzanzibari kushika nafasi za muungano, ni issue.
Pole!.
P
Vilevile wapitie na teuzi nyingine za huko nyuma kuliwahi kuwepo mkuu wa wilaya, Ded, mkuu wa mkoa, Ras, Das kutoka zanzibar kama haijawahi tokea basi washauri wa Rais wanatest zari.Katiba ina mikanganyiko mingi. Nipo kwenye mashauriano na wanasheria tukianzia na hili la DC Iringa.
Wakiona kuna mashiko nitasonga mahakamani kuomba tafsiri sahihi.
Katiba mkuu ndiyo inatoa huo uhalali wa mzanzibar kuwa Rais wa jmt, jiulize kwanini hatulalamikii wabunge kutoka Zanzibar kuwepo pale Dodoma? ?? Ni kwa sababu wako pale kwa mujibu wa katiba.Binadamu tumeumbwa unique tofauti na wanyama wengine. Tutumie hata common sense Basi. Mzanzibar anaweza kuwa raisi wa Tanzania ambaye anaongoza , wizara zote, mikoa na wilaya. Inakuaje ashindwe kuteuliwa nafasi ya dc au rc? Wakati cheo Hiko Ni kidogo zaidi juu ya nafasi ya uraisi.
Hii ni porojo.Hao Watanganyika ndio kina nani,sisi ni Wanzania tuliopo bara kuanzia tarehe 26 April 1964 ambapo Tanganyika iliishia hapo zaidi ya hapo ni lugha ya kibaguzi.
Kwa nini watanganyika wanaoguza wizara za Muungano ?Na kwanini Mzanzibar anaongoza wizara zisizo za muungano huku bara wakati Mtanganyika hawezi kuongoza wizara zisizo za muungano Zanzibar ?
[emoji23][emoji23][emoji23] Siwajui mi ni Mtanzania.Hii ni porojo.
Unakataa Utanganyika wako??
How comes CFD ambaye ni mmoja hawezi kucommand hivyo vikozi vya Zanzibar ambayo ni Tanzania?..Huu muungano wetu huu..una maswali mengi.
Serikali tatu ni mzigo ,kutaongezea gharama bure kwa ajili ya faida ya wachache, hao wote watajipangia kujengewa mihekalu ya kufa mtu, watajipangia mibenzi, kifupi muungano usiwepo kila mtu achukue 50 zake. Ukisema serikali moja jamaa zetu wabishi watasema watamezwa , wao wanaona kama bara ndio tunawahitaji zaidi kuliko wao wanavyotuhitaji. Pia mimi naona zile sababu za kuwepo muungano kwa wakti huu hazina mshiko, mambo ya vita baridi kati ya nchi za Magharibi na Mashariki hayapo, hatuihitaji Zanzibar kwa ajili ya usalama wa bara!
Tuanze upya,nchi ile ijitegemeeHuu sio muungano, ila ni mfano wa muungano.
Maandamano mazuri ni kama lile Fuso limeandikwa katiba mpya.Nguvu gani unaongelea mkuu? Kama unamaanisha kupiga kelele mitandaoni na kwenye mikutano ya siasa ama vijiwe vya kahawa sahau kupata katiba mpya
Katiba huwa inadaiwa kwa vita/mapigano tu. Nje ya hapo tutasubiri Sana. Kwa kulijua hili ndiyo maana ccm wanagawa vyeo kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Ili kuendelea kutawala milele.
Kwa ukondoo huu wa watanzania tutakaa Sana.
Watawala huwa na kiburi sana ndugu. Hasa pale kinachofanywa hakitishii kiti chake hujifanya Wana ngozi ngumu mno.Maandamano mazuri ni kama lile Fuso limeandikwa katiba mpya.
Kila mabandiko yaandikwe Katiba mpya,haihitaji nguvu kubwa ni akili.
Kaka vilungu watanzania waoga Sana ,tunafanyaje Sasa mkuuWatawala huwa na kiburi sana ndugu. Hasa pale kinachofanywa hakitishii kiti chake hujifanya Wana ngozi ngumu mno.
Hivyo hiyo mbinu inayopendekeza wala haitawatisha.
Ndugu zanguni kuna jambo hamli juwi.Habari wanajamvi,
Wiki hzi tatu au mwezi huu tumekuwa na mijadala mingi hasa inayohusu uteuzi na teuzi mbalimbali.
Kinacholeta mjadala kingine ni katika masuala ya Muungano, Nacho nauliza kama ifuatavyo:
1. Je, inaruhusiwa kwa Mzanzibari kuongoza Wizara/taasisi ambayo haipo katika masuala ya Muungano, mfano Afya?
2. Kama ni sahihi, je mbona Watanganyika hatupewi nafasi za kuongoza wizara/taasisi zisizo za muungano kule Zanzibar?
3. Kama si sahihi, je ni kwa nini kinafanywa na nini kifanyike?