Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #21
Zipo roho za watu takriban 10 zimeondolewa bia hatia huko Zanzibar,Uzuri wa Mungu sio mwanadamu maombi ya wenye hila ni kelele mbele zake
Albadiri ndio nini ?Hakuna kitu kama hicho. ,Zanzibar hii hii iliyojaa uchafu
Toka mwaka 1995 wanaibiwa kura , wangeshafanya hivo, ndio waje wafanye leo, walishindwa 2015 Jecha alipofuta matokeo ,ije Leo ? Watasahau maisha yataendelea
Walishindwa kumpiga Albadiri Jecha Salumu , kadunda hadi kastaafu na kaja kugombea kupitia CCM
Wazanzibar mnaodhulumiwa, enyi mnaoonewa, mtume Muhammad alishafundisha, silaha ya muumini ni dua!. Amkeni usiku, Tajeni lile jina kuu la Mwenyezi Mungu ambalo mtume alifundisha kuwa ukiomba kwalo Mungu anajibu
Amkeni usiku mswali Tahajjud, mumlilie Mwenyezi Mungu kwa dhulma hii mnayofanyiwa. Fanyeni visomo. Hamuhitaji Sheikh wa kuwaongoza, ewe Mzanzibar mmoja mmoja, amkeni usiku mlilieni Mungu. Fanyeni hivyo mfululizo kila siku kadri ya utakavyoweza, atakayeweza siku 90 na afanye, asiyeweza hizo basi hata kama ni siku moja au mbili, au tatu na kadhalika basi afanye!
Nyie hamna bunduki, hamna risasi, hata mgekuwa navyo hakuna silaha yenye nguvu kushinda dua, na wakati mzuri wa dua ni kuamka usiku na kumlilia Mungu, fanyeni hivyo
Mshitakieni Mungu juu ya waliowatendea dhulma za wazi, katika dua tajeni Majina ya mnaowajua katika dhulma na mateso haya.
Kisha baada ya hapo kuweni na Subira kisha mje muone majibu ya Mwenyezi Mungu. Allah amesema katika dua ambazo huzijibu ni dua za aliyedhulumiwa!.
Fanyeni visomo enyi Wazanzibar, kila mtu kwa uwezo na nafasi yake!
Chief
Kwani Allah hakutuwekea utaratibu wa maisha....mpaka leo tunatafuta nguvu kupitia utaratibu uliowekwa na Binaadam ....
Chief
Zanzibar ya leo,Mashoga ndio nambari 1 kwa Tanzania
Zanzibar leo,Madawa ndio soko kuu
Tumeacha mafundisho ya Mola wetu
Tumeacha mafundisho ya Mtume wetu
Tukaona yamepitwa na wakati
Tukaikumbatia Dunia na Watoto wake
Kwa haya na mengine meeengi
Hivi nusra ya Allah,itakuja kweli
Hivi!unasemaje,ikiwa haya matatizo,ni adhabu itokayo kwake....kwa makosa tuliyoyafanya na tunayoyafanya...!!!
Hivi tumeisahau aya hii
وَأَنَّ هَذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ وَلا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَنْ سَبِيلِهِ
NA HAKIKA HII NDIO NJIA YANGU ILIYO NYOOKA,BASI IFUATENI,NA WALA MSIFUATE NJIA(NYENGINE),MKATOFAUTIANA(MKAPOTEA)NA NJIA YANGU.........
SWALI
Hivi,Njia ya Mtume wa Allah,ni Demokrasia na Maandamano......?!!!
Na njia zipi hizo,tukizifuata,tutapotea na kuachana na njia ya Mtume wetu صلى الله عليه وسلم....?!!!
Embu Msikilize Omar Ibn Khataab
anasema
إنا كنا أذل قوم فأعزنا الله بالإسلام فمهما نطلب العزة بغير ما أعزنا الله به أذلنا الله .
HAKIKA YA SISI,TULIKUWA WATU MADHALILI MNO,ALLAH AKATUPA UTUKUFU KUPITIA UISLAM
VYOVYOTE VILE,TUKITAFUTA UKUKUFU KINYUME NA NJIA TULIYOTUKUZWA NAYO(KINYUME NA UISLAM),BASI ALLAH ATATUDHALILISHA..
SWALI
Sisi tunafuata Uislam kweli....?!
au
Sisi tunafuata matamanio ya nafsi zetu?!!!
Turuduni kwa Allah kwa kufuata Uislam Sahihi
Tuachane na ujanja ujanja huu tunaoufanya
Kinyume na hivyo
Tutatadhibiwa kila siku,huku tukipiga kelele
Tutaadhibiwa kila siku,huku tukiomba Dua asubuhi na jioni,bila ya kujibiwa
Tunamuomba Allah atuonyeshe njia ya sawa,na atupe nguvu ya kuifuata
Wapi katika bandiko langu hili,nimeshabikia SISIEMUHivi hata aibu huna na huo unafiki wako? Muislamu gani timamu anashabikia CCM?
Very good ideaWazanzibar mnaodhulumiwa, enyi mnaoonewa, mtume Muhammad alishafundisha, silaha ya muumini ni dua!. Amkeni usiku, Tajeni lile jina kuu la Mwenyezi Mungu ambalo mtume alifundisha kuwa ukiomba kwalo Mungu anajibu
Amkeni usiku mswali Tahajjud, mumlilie Mwenyezi Mungu kwa dhulma hii mnayofanyiwa. Fanyeni visomo. Hamuhitaji Sheikh wa kuwaongoza, ewe Mzanzibar mmoja mmoja, amkeni usiku mlilieni Mungu. Fanyeni hivyo mfululizo kila siku kadri ya utakavyoweza, atakayeweza siku 90 na afanye, asiyeweza hizo basi hata kama ni siku moja au mbili, au tatu na kadhalika basi afanye!
Nyie hamna bunduki, hamna risasi, hata mgekuwa navyo hakuna silaha yenye nguvu kushinda dua, na wakati mzuri wa dua ni kuamka usiku na kumlilia Mungu, fanyeni hivyo
Mshitakieni Mungu juu ya waliowatendea dhulma za wazi, katika dua tajeni Majina ya mnaowajua katika dhulma na mateso haya.
Kisha baada ya hapo kuweni na Subira kisha mje muone majibu ya Mwenyezi Mungu. Allah amesema katika dua ambazo huzijibu ni dua za aliyedhulumiwa!.
Fanyeni visomo enyi Wazanzibar, kila mtu kwa uwezo na nafasi yake!
Wapi katika bandiko langu hili,nimeshabikia SISIEMU
Mungu anampatia mwenye haki haki yake.
Nao wafanye tu, Mungu atajajiMungu anampatia mwenye haki haki yake.
We unajuaje kama maalimu Seif akiwa mtawala atakuwa mtenda haki na pia unajua kwa nn anang'ang'ania madaraka??
Huku kuswali tahajjudi hata Wana CCM wanafanya.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Dua ya aliyedhulumiwa haina pazia!Chief
Kwani Allah hakutuwekea utaratibu wa maisha....mpaka leo tunatafuta nguvu kupitia utaratibu uliowekwa na Binaadam ....
Chief
Zanzibar ya leo,Mashoga ndio nambari 1 kwa Tanzania
Zanzibar leo,Madawa ndio soko kuu
Tumeacha mafundisho ya Mola wetu
Tumeacha mafundisho ya Mtume wetu
Tukaona yamepitwa na wakati
Tukaikumbatia Dunia na Watoto wake
Kwa haya na mengine meeengi
Hivi nusra ya Allah,itakuja kweli
Hivi!unasemaje,ikiwa haya matatizo,ni adhabu itokayo kwake....kwa makosa tuliyoyafanya na tunayoyafanya...!!!
Hivi tumeisahau aya hii
وَأَنَّ هَذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ وَلا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَنْ سَبِيلِهِ
NA HAKIKA HII NDIO NJIA YANGU ILIYO NYOOKA,BASI IFUATENI,NA WALA MSIFUATE NJIA(NYENGINE),MKATOFAUTIANA(MKAPOTEA)NA NJIA YANGU.........
SWALI
Hivi,Njia ya Mtume wa Allah,ni Demokrasia na Maandamano......?!!!
Na njia zipi hizo,tukizifuata,tutapotea na kuachana na njia ya Mtume wetu صلى الله عليه وسلم....?!!!
Embu Msikilize Omar Ibn Khataab
anasema
إنا كنا أذل قوم فأعزنا الله بالإسلام فمهما نطلب العزة بغير ما أعزنا الله به أذلنا الله .
HAKIKA YA SISI,TULIKUWA WATU MADHALILI MNO,ALLAH AKATUPA UTUKUFU KUPITIA UISLAM
VYOVYOTE VILE,TUKITAFUTA UKUKUFU KINYUME NA NJIA TULIYOTUKUZWA NAYO(KINYUME NA UISLAM),BASI ALLAH ATATUDHALILISHA..
SWALI
Sisi tunafuata Uislam kweli....?!
au
Sisi tunafuata matamanio ya nafsi zetu?!!!
Turuduni kwa Allah kwa kufuata Uislam Sahihi
Tuachane na ujanja ujanja huu tunaoufanya
Kinyume na hivyo
Tutatadhibiwa kila siku,huku tukipiga kelele
Tutaadhibiwa kila siku,huku tukiomba Dua asubuhi na jioni,bila ya kujibiwa
Tunamuomba Allah atuonyeshe njia ya sawa,na atupe nguvu ya kuifuata
Damu ya HEDHImwinyi ashukuru kura feki.vinginevyo maalim angemtoa damu[emoji16][emoji16]
Ona hili kenge.... wangekaa Ndan kwao wangeguswa??!Pia usisahau na zile damu zisizo na hatia zilizomwagwa zaidi ya watu 10
Kakaee wewe bas..Hussein Mwinyi ni dhalimu, Kibaraka aliyewekwa na Tanganyika kuwakalia watu wa Zanzibar
Ndiyo maana ya kuwepo kwa pepo na moto. Laiti hayo mataifa yasingelikuwepo kungeli kuwa na maana gani ya kuwepo hivyo?Hamna lolote. Ingekuwa inafanya kazi kuna mataifa yasingekuwepo duniani kuna watu wangekuwa wamekufa saaaaaaaanaaaaaa... Siyo kidogo.yaani wangekuwa wamekufa na kufa tena na tena.
Msimamo wangu ni mmoja tu, ni haki!Ona hili kenge.... wangekaa Ndan kwao wangeguswa??!
Si nyege mshindo zimewaponza
Sifahamu ni vipi Seif ang'ang'ania madaraka, wakati wazanzibari wanamchangua awe kiongozi wao badala yake kigurupu kidogo kikisaidiwa na watanganyika kikifanya mapinduzi.Mungu anampatia mwenye haki haki yake.
We unajuaje kama maalimu Seif akiwa mtawala atakuwa mtenda haki na pia unajua kwa nn anang'ang'ania madaraka??
Huku kuswali tahajjudi hata Wana CCM wanafanya.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app