Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Ila Wazanzibari ni wabinafsi na wabaguzi mno.
Huu muungano hawautaki kabisa, hata sijui kwanini wanalazimishwa.
Huu muungano hawautaki kabisa, hata sijui kwanini wanalazimishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nakuunga mkono, una hoja yenye mashiko. Na iaply kote kwa usawa! 📌🔨Kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari. Tanzania ni ya Watanzania wote ila Zanzibar sio ya wote kwa baadhi ya haki ni kwa Wanzanzibari wakaazi pekee.
Kwa vile sarafu ni issue ya Muungano, Passport ni ya Muungano, Kitambulisho cha Nida ni cha Muungano, leseni ya Driving License should be ni issue ya muungano, ila kwavile Zanzibar ni kisiwa, madereva wanaofanya biashara ya public transport ndio wahitaji vibali lakini sio sisi wa private cars!.
P
Kuna muda P huwa unakuwa na akili na kuna muda huwa unazivua akili. Ila kama huwa unazivua kwa sababu ya tumbo hapo sisemi nenoKila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari. Tanzania ni ya Watanzania wote ila Zanzibar sio ya wote kwa baadhi ya haki ni kwa Wanzanzibari wakaazi pekee.
Kwa vile sarafu ni issue ya Muungano, Passport ni ya Muungano, Kitambulisho cha Nida ni cha Muungano, leseni ya Driving License should be ni issue ya muungano, ila kwavile Zanzibar ni kisiwa, madereva wanaofanya biashara ya public transport ndio wahitaji vibali lakini sio sisi wa private cars!.
P
Hao ni kama wake zetu, yaani tunalazimisha ndoa kama hujuiIla Wazanzibari ni wabinafsi na wabaguzi mno.
Huu muungano hawautaki kabisa, hata sijui kwanini wanalazimishwa.
Huoni kama ameandika kwa kujichanganya?Kaandika kama vile hajui nini shida.Msanii huyo.Mkuu nakuunga mkono, una hoja yenye mashiko. Na iaply kote kwa usawa! 📌🔨
🙏Huoni kama ameandika kwa kujichanganya?Kaandika kama vile hajui nini shida.Msanii huyo.
Hatuna roho ya choyoKwanza nianze kwa kuipongeza serikali ya Zanzibar kwa kutuzuia Watanganyika kuendesha vyombo vya moto kwao bila kibali maalumu, yaani leseni ya udereva pekee haitoshi mpaka uwe na kibali chao.
Huu ni utaratibu mzuri, serikali ya Tanganyika iige mfano huu na raia wote wa kigeni toka Zanzibar wazuiliwe kutumia barabara zetu bila kibali maalumu. Huenda tukapunguza matukio ya ajali za barabarani.
Yeye(mwalimu)alishatuasa kwa kutuambia yaliyo mema tuyatwae.Na tunapoona makosa yake tuyarekebishe na/au kuyaondoa kabisa.Huko kulikuwa ni kuomba radhi kiutu-uzima.Kazi kwetu.Mwalimu Nyerere huko aliko asisamehewe kwa hili kosa la kipumbavu kabisa alilofanya kutuwekea huu upumbavu unaoitwa muungano ambao hata yeye mwenyewe alikua kujuta baadae kwa alifanya huo upumbavu, ifike wakati sasa huu upumbavu ufikie mwisho Kila mmoja achukue fito zake, ni aibu na upumbavu mkubwa Sana kuongozwa na kubanwa mbavu na kakikundi kadogo ka wale waarabu uchwara
Kuna kuitwa roho-safi na ujinga wa kutokuwa makini.Usichanganye habari.Hatuna roho ya choyo
Wangekuwa na akili tusingeendelea kuwatawala kupitia CCM.Mara kadhaa nimeandika humu kuhusu Watanganyika na Wazanzibar.ukweli ni kwamba Wazanzibar ni wenye akili kuliko Watanganyika
Wazanzibari ni wazalendo kuliko Watanganyika
Utaifa ni jambo ambalo mataifa yote duniani huulinda kwa nguvu zote,hakuna taifa lenye watu wenye akili timamu wako tayali kuona utaifa wao unachezewa hovyo,hili tuna liona kwa mifano michache kupitia mataifa kadhaa mfano ni mgogoro wa Israel na Palestine. Ni mvutano wa uwepo na utetezi wa...www.jamiiforums.com
Sentensi mbaya sana kwa akina mama wanaojitambua.Kuishi na jambazi huku akisaidiwa na mihuni inayoitwa "watoto wetu"!Hii ni kama ndoa tu. Cha mume ni cha familia ila cha mke ni chake peke yake
Mkuu you are not fair, Rais Mzanzibari ndio Kawa Rais ana miaka 3 tu, unasema kabana watu mbavu!Mwalimu Nyerere huko aliko asisamehewe kwa hili kosa la kipumbavu kabisa alilofanya kutuwekea huu upumbavu unaoitwa muungano ambao hata yeye mwenyewe alikua kujuta baadae kwa alifanya huo upumbavu, ifike wakati sasa huu upumbavu ufikie mwisho Kila mmoja achukue fito zake, ni aibu na upumbavu mkubwa Sana kuongozwa na kubanwa mbavu na kakikundi kadogo ka wale waarabu uchwara
Wanawake ndo wapo hivyo.Wazanzibar kama watoto tu...CHAKE NI CHAKE NA CHAKO NI CHAKE.**
Una hoja kuntu..Mwalimu Nyerere huko aliko asisamehewe kwa hili kosa la kipumbavu kabisa alilofanya kutuwekea huu upumbavu unaoitwa muungano ambao hata yeye mwenyewe alikua kujuta baadae kwa alifanya huo upumbavu, ifike wakati sasa huu upumbavu ufikie mwisho Kila mmoja achukue fito zake, ni aibu na upumbavu mkubwa Sana kuongozwa na kubanwa mbavu na kakikundi kadogo ka wale waarabu uchwara