Wazanzibar wasiruhusiwe kuendesha vyombo vya moto Tanganyika bila kibali

Wazanzibar wasiruhusiwe kuendesha vyombo vya moto Tanganyika bila kibali

Nyie ni wake zetu tunawatunza ni wajibu wetu kuwalea ila mnajiona kama mnafaidika
Kwenye nyumba mme ndo mwenye maamuzi mke lazima afuate amri ya mume.

Wanaume wa Wazanzibar wanawaendesha Watanganyika kweli kweli, wakati nyie mkilalamika bei ya vitu mfano umeme , Wazanzibar wao wanapitisha maamuzi magumu kwa Taanesko kusamehe deni la umeme.

Kipindi Wazanzibar wanaondoa mafuta na rasilimali nyingine muhimu kutokuwa suala la muungano na muda huo huo wananufaika na gawio la mapato ya Kodi toka kwenu wapumbavu toka kwenye madini,bandari,gesi nk.

Wakati Zanzibar wanajenga skuli za magorofa za kisasa,nyie zenu hata matundu ya vyoo yamewashinda.

Mapato yanayo kusanywa Zanzibar na miradi ya maendeleo wanayo fanya ni tofauti hii ni kanuni ndogo sana kuelewa "chukua kwa wajinga na wapumbavu ukajenge kwa wajanja"

Leo wizara sizizo za muungano zinaongozwa na wanaume wa Wazanzibar,ndio maana wanasaini hata mikata ya kimangungo sababu wanajua vyao vinalindwa na wao, wapumbavu mko bize na ushabiki wa Simba na Yanga.
 
Mkuu yaani wala ulojo wana akili kuliko watanganyika [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Wala ulojo wako smart inahitajika akili ya ziada kulitambua hili lakini ukiwa na mihemko huwezi ng'amua hili.

Kipindi muungano wa Tanganyika na Zanzibar , Watanganyika walipoteza taifa lao na utaifa wao lakini Wazanzibar walibaki na utaifa wao na taifa lao.Ndio maana Kuna maslahi ya Zanzibar tu,lakini hakuna maslahi ya Tanganyika.

Leo hii Wazanzibar wachache wanawatawala Watanganyika walio wengi [emoji3]
 
Wangekuwa na akili tusingeendelea kuwatawala kupitia CCM.
Wewe ndo unatawaliwa na Wazanzibar sio wewe kuwatawala Zanzibar,Leo hii rais ni Mzanzibar ,wewe niambie ni lini Mtanganyika amewahi kuwa Rais Zanzibar?

Leo mikataba ya rasilimali za Tanganyika zinasainiwa na Wazanzibar,wanaongoza wizara zisizo hata za muungano,alafu unajigamba kuwatawala hivi ni vichekesho.
 
Kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari. Tanzania ni ya Watanzania wote ila Zanzibar sio ya wote kwa baadhi ya haki ni kwa Wanzanzibari wakaazi pekee.

Kwa vile sarafu ni issue ya Muungano, Passport ni ya Muungano, Kitambulisho cha Nida ni cha Muungano, leseni ya Driving License should be ni issue ya muungano, ila kwavile Zanzibar ni kisiwa, madereva wanaofanya biashara ya public transport ndio wahitaji vibali lakini sio sisi wa private cars!.
P
Hicho ulichosema ndicho, ila je, ndivyo inavypaswa kuwa kwa binadamu kwenye akili timamu? Au huo utaratibu ni msaafu?
 
Mkuu you are not fair, Rais Mzanzibari ndio Kawa Rais ana miaka 3 tu, unasema kabana watu mbavu!

Miaka 59 ya Marais watanganyika kutawala ni nini kilifanyika?

Hiyo miaka yoooote watanzania hawakubanwa mbavu?

Acha unaa, unafiki, uzandiki, ubaguzi na uongo! Hakuna aliyebanwa!
Ally Hassan Mwinyi hakuwa MZanzibar?
 
Wala ulojo wako smart inahitajika akili ya ziada kulitambua hili lakini ukiwa na mihemko huwezi ng'amua hili.

Kipindi muungano wa Tanganyika na Zanzibar , Watanganyika walipoteza taifa lao na utaifa wao lakini Wazanzibar walibaki na utaifa wao na taifa lao.Ndio maana Kuna maslahi ya Zanzibar tu,lakini hakuna maslahi ya Tanganyika.

Leo hii Wazanzibar wachache wanawatawala Watanganyika walio wengi [emoji3]
maneno yako yanapandisha hasira sana..., f@ck!
 
Kwanza nianze kwa kuipongeza serikali ya Zanzibar kwa kutuzuia Watanganyika kuendesha vyombo vya moto kwao bila kibali maalumu, yaani leseni ya udereva pekee haitoshi mpaka uwe na kibali chao.

Huu ni utaratibu mzuri, Serikali ya Tanganyika iige mfano huu na raia wote wa kigeni toka Zanzibar wazuiliwe kutumia barabara zetu bila kibali maalumu. Huenda tukapunguza matukio ya ajali za barabarani.
Mengine yote ni porojo tu.La maana ni hilo la kupunguza ajali.
Kwani mtu anayeendesha gari barabara ya darajani mpaka mwanakwerekwe akiingia Morogoro road huwa anapata kiwewe hata kama ni dereva wa muda mrefu.
 
Mara kadhaa nimeandika humu kuhusu Watanganyika na Wazanzibar. Ukweli ni kwamba Wazanzibar ni wenye akili kuliko Watanganyika.

Wangekuwa na akili wangeishi maisha ya kujitegemea na wangekuwa na maendeleo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii! Na wasingekuwa makupe wa Watanganyika kwa miaka zaidi ya 60 sasa.
 
Wangekuwa na akili wangeishi maisha ya kujitegemea na wangekuwa na maendeleo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii! Na wasingekuwa makupe wa Watanganyika kwa miaka zaidi ya 60 sasa.
Kupe na chawa hunufaika toka kwenye mwili wa mtu kwa kunyonya damu,katika hatua hiyo muathirika huwa binadamu.

Wazanzibar wamefanya mahesabu ya akili nchi Yao ndogo rasilimali chache na wakati huo huo Kuna linchi kubwa lenye kila kitu hivyo wakajiweka karibu kunufaika na bila kutoka jasho, Watanganyika wanaumia kufanya Kazi lakini jasho lao linakwenda kwa wasio fanya Kazi ni matumizi vya akili tu.

Hata waingereza,wafaransa na wakoloni wengine walikuwa kupe kwa waafrika maana mwafrika alivuja jasho lakini mnufaika alikuwa mkoloni.
 
Kwanza nianze kwa kuipongeza serikali ya Zanzibar kwa kutuzuia Watanganyika kuendesha vyombo vya moto kwao bila kibali maalumu, yaani leseni ya udereva pekee haitoshi mpaka uwe na kibali chao.

Huu ni utaratibu mzuri, Serikali ya Tanganyika iige mfano huu na raia wote wa kigeni toka Zanzibar wazuiliwe kutumia barabara zetu bila kibali maalumu. Huenda tukapunguza matukio ya ajali za barabarani.
Wanadeka sana hawa watoto wa nje....
 
Na kingine pia bandarini mzigo unaotoka Tanganyika kwenda Zanzibar nao upigwe kodi(ushuru wa bandari)kama ambavyo mzigo unaotoka Zanzibar kuja Tanganyika au vifutwe vyote. Nchi ina mambo ukitafakari utaishia kusonya alafu huelewi unamsonya nani
 
Mkuu you are not fair, Rais Mzanzibari ndio Kawa Rais ana miaka 3 tu, unasema kabana watu mbavu!

Miaka 59 ya Marais watanganyika kutawala ni nini kilifanyika?

Hiyo miaka yoooote watanzania hawakubanwa mbavu?

Acha unaa, unafiki, uzandiki, ubaguzi na uongo! Hakuna aliyebanwa!
Kuna sehemu nimeandika huyo bibi yenu ana wabana watanganyika 🤔🤔 kwanza hiyo nguvu ya kuwabana watanganyika anajitoa wapi kwanza 🤔🤔 kinacho wabana watanganyika ni huo upumbavu wanaouita muungano, ni wendawazimu na wapumbavu wanaweza kuendelea kuunga mkono huo muungano
 
Mara kadhaa nimeandika humu kuhusu Watanganyika na Wazanzibar. Ukweli ni kwamba Wazanzibar ni wenye akili kuliko Watanganyika.

Kabisa mkuu
 
Kwanza nianze kwa kuipongeza serikali ya Zanzibar kwa kutuzuia Watanganyika kuendesha vyombo vya moto kwao bila kibali maalumu, yaani leseni ya udereva pekee haitoshi mpaka uwe na kibali chao.

Huu ni utaratibu mzuri, Serikali ya Tanganyika iige mfano huu na raia wote wa kigeni toka Zanzibar wazuiliwe kutumia barabara zetu bila kibali maalumu. Huenda tukapunguza matukio ya ajali za barabarani.

Ulipotea sana mkuu. Nikajua umeenda kufungasha uhamie bandari salama. Nakosea mkuu?
 
Back
Top Bottom