Wazanzibari bado wanataka OIC, Watanganyika tubariki tuyaone maendeleo

Huyu mzee angepaswa kuonywa na viongozi wa juu
 
Singapore,South Korea, Thailand hawapo OIC lakini uchumi wao Upo vizuri, si vibaya tuendelee kujifunza pia kwa nchi ambazo hazipo OIC lakini zina excell kiuchumi.
 
Hakuna kujiunga na magaidi, nikiwa rais naifuta nchi ya Zanzibar kule nateua wakuu wa mikoa 2 mkoa wa unguja na mkoa wa pemba, kisha napeleka jeshi atakayeguna hata kimoyomoyo anatandikwa fimbo 5.

Ni lazima tuwafundishe ustaarabu.
Utakuwa wewe una umwa, sisi sahivi ndiyo manamba wa Zanzibar tunalipa kodi tunaenda kuijenga Zanzibar
 
Uganda walipelekwa na Nduli Idd Amin ili serikali yake ipate uungwaji mkono na waislam na silaha kutoka nchi za Kiarabu!
Kumbee 😳😀
Halafu baada ya Nduli Amin woote waliofuata mpaka Museveni wameshindwa kujitoa ??! 😅🙄
 
Kumbee 😳😀
Halafu baada ya Nduli Amin woote waliofuata mpaka Museveni wameshindwa kujitoa ??! 😅🙄
Baada ya Idd Amin alifuata Prof. Lule ambaye alipinduliwa na jeshi na wakafuata wanajeshi wengine kwa kupinduana. Baadaye Museveni akiwa na Kagame ambao walikuwa wapiganaji wa msituni wakalishinda jeshi na kuchukua madaraka. Mpaka leo Museveni yupo madarakani lakini hana mpango wa kuitoa Uganda katika OIC na wala wala hajishirikishi nayo sana!
 
Waliojiunga na OIC wamefaidikaje??
Ukiacha uganda kutofaidika nani mwingine anafaidika? OIC Ina advantages zipi?!
 
H
Ahaaa kumbe OIC ni kundi la kigaidi kama Hisbollah
 
huyu jamaa ametoa picha yote na ramani wanzanzibari wanafanya kwa Tanganyika. ndio maana watu waliuliza kwanini sisi tunakopa zanzibar wanafaidi ila hawalipi, kwanini deni la umeme kipindi cha magu walisamehewa kwahiyo sisi tunawalipia umeme? kuna faida gani Tanganyika inapata toka kwa Zanzibar? na kwa bahati mbaya, wakristo Tanzania ni 60% kwa sasa na wanazidi kuongezeka hivyo wasahau kabisa OIC.
 
This is a secular state. Acha upumbavu wako
 
SISI WABARA TUNAJILAZIMISHA TU. WAZANZIBAR HAWATUPENDI HATA KIDOGO. WANGETAMANI MUUNGANO WAO UNGEKUWA HATA NA KENGE KULIKO TANZANIA BARA.
 
Wazanzibar ni watu wa chuki sn
Hilo nalo neno, ila nilikuwa nakumbushia ya Lukuvi aliposema wazanzibari wanataka waarabu warudi ili watutawale na ni ni hatari sana kwa usalama
Hayo maneno yalikuwa ni mabaya mno kwa waziri kuyaongea tena akaungwa mkono na viongozi wa dini kanisani wakisikika kabisa
Kuhusu chuki zao sijui boss maana kama wanataka kujitenga ni shauri lao kwa wanavyoona wao
Sisi kama tunataka kisiwa tunavyo vingi tena tunaweza kumwambia mchina atutengenezee kikubwa maana mchina hashindwi kitu na ameisha tengeneza artificial island huko
 
Basi yapo manufaa wanayapata kule OIC !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…