Wazanzibari tambueni Mwalimu Nyerere alikuwa Rais wa kwanza, kwanini Benki ya Watu wa Zanzibari haina picha ya Nyerere, ina ya Mwinyi na Samia?

Wazanzibari tambueni Mwalimu Nyerere alikuwa Rais wa kwanza, kwanini Benki ya Watu wa Zanzibari haina picha ya Nyerere, ina ya Mwinyi na Samia?

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Kwanza nimekataa kupewa huduma ya ufunguzi wa akaunti baada ya kukuta picha ya Samia Suluhu Hassani na Dkt. Mwinyi kwenye Benki ya Zanzibari. Hii ina maana nyie hamtambui ya kuwa Baba wa Taifa alikuwa Baba wa Tanzania means Tanganyika na Zanzibar?
 
Kwanza nimekataa kupewa huduma ya ufunguzi wa Akaunti baada ya kukuta picha ya Samia suluhu hassani Na Dr mwinyi kwenye benk ya zanzibari hii Ina maana nyie hamtambui yakuwa Baba wa Taifa alikuwa Baba wa Tanzania means Tanganyika na zanzibari?

Sasa benk za bara nazo ziige upuuzi hii?
Mbona hujauliza ya Karume?
 
Kwanza nimekataa kupewa huduma ya ufunguzi wa Akaunti baada ya kukuta picha ya Samia suluhu hassani Na Dr mwinyi kwenye benk ya zanzibari hii Ina maana nyie hamtambui yakuwa Baba wa Taifa alikuwa Baba wa Tanzania means Tanganyika na zanzibari?

Sasa benk za bara nazo ziige upuuzi hii?
 
Nahisi wewe utakuwa mgeni wa siasa za Tanzania.

Hapo ulipo ni Zanzibar siyo Tanganyika, Zanzibari ina Rais wake ambaye ni Dr. Hussein Mwinyi na ana mamlaka yote yanayotakiwa kwa rais nje ya muungano.

Ukiwa Tanganyika kuna Rais Mh. Samia S. Hassan ambaye kwa pande zote anabeba kofia ya muungano wa pande zote akiwa ndiye amiri jeshi, hii ni baada ya ile chapa ya wazee wetu, Julius na Abeid.

Kwenye ofisi za umma au ofisi binafsi ambayo inafaa kuwepo alama ya taifa kama picha ya kiongozi wa taifa inatakiwa iwekwe ya kiongozi aliye madarakani kama rais na siyo mstaafu, hivyo basi zanzibari tuna Rais Hussein mwenye mamlaka na visiwa hivi siyo Nyerere wala karume na mama Samia anawakilisha muungano na siyo zanzibari.
 
Wazanzibar ni wajinga tumewadekeza sana hadi imekuwa milemavu ya akili siku yao itafika
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] benki ulienda na hela au ulienda kuchunguza tu
 
Kwanza nimekataa kupewa huduma ya ufunguzi wa Akaunti baada ya kukuta picha ya Samia suluhu hassani Na Dr mwinyi kwenye benk ya zanzibari hii Ina maana nyie hamtambui yakuwa Baba wa Taifa alikuwa Baba wa Tanzania means Tanganyika na zanzibari?

Sasa benk za bara nazo ziige upuuzi hii?
 
We jamaa wa ajabu kwel kwel ,yaani kisa hujakuta picha ya Nyerere ,ndio imekufanya usifungue accont
Vip ya karume uliikuta?

Acha mambo ya ajabu fungua account hiyo
 
Kwanza nimekataa kupewa huduma ya ufunguzi wa Akaunti baada ya kukuta picha ya Samia suluhu hassani Na Dr mwinyi kwenye benk ya zanzibari hii Ina maana nyie hamtambui yakuwa Baba wa Taifa alikuwa Baba wa Tanzania means Tanganyika na zanzibari?

Sasa benk za bara nazo ziige upuuzi hii?
We tafuta pesa achana na mambo ya picha, hilo linasaidiaje mama ako uko mkoani.
 
Kwanza nimekataa kupewa huduma ya ufunguzi wa Akaunti baada ya kukuta picha ya Samia suluhu hassani Na Dr mwinyi kwenye benk ya zanzibari hii Ina maana nyie hamtambui yakuwa Baba wa Taifa alikuwa Baba wa Tanzania means Tanganyika na zanzibari?

Sasa benk za bara nazo ziige upuuzi hii?
Nyerere alituingiza chaka hakuna Muungano pale.
 
Kwanza nimekataa kupewa huduma ya ufunguzi wa Akaunti baada ya kukuta picha ya Samia suluhu hassani Na Dr mwinyi kwenye benk ya zanzibari hii Ina maana nyie hamtambui yakuwa Baba wa Taifa alikuwa Baba wa Tanzania means Tanganyika na zanzibari?

Sasa benk za bara nazo ziige upuuzi hii?
Hii nchi kila mtu ana baba yake na mama yake tusichoshane akili.
 
Kwanza nimekataa kupewa huduma ya ufunguzi wa Akaunti baada ya kukuta picha ya Samia suluhu hassani Na Dr mwinyi kwenye benk ya zanzibari hii Ina maana nyie hamtambui yakuwa Baba wa Taifa alikuwa Baba wa Tanzania means Tanganyika na zanzibari?

Sasa benk za bara nazo ziige upuuzi hii?
Amewekwa Mwinyi kwa kigezo kipi, Rais wa Kwanza wa Tanzania au?
 
We jamaa wa ajabu kwel kwel ,yaani kisa hujakuta picha ya Nyerere ,ndio imekufanya usifungue accont
Vip ya karume uliikuta ?
Acha mambo ya ajabu fungua account hiyo
Karume ni Rais wa kwanza wa Tanzania?
 
Huna sababu ya kuhoji. Muungano ni swala la muda bado kidogo kila mtu achukua hamsini zake. Ushauri usilogwe ukawekeza huko itakula kwako
 
Back
Top Bottom