future lawyer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 419
- 423
Yakhee naona nashambuliwa hapa hata sifahamu kosa languHahaha hahaha hahaha yakheee mpemba mwenzangu habari
ZanzibarKaka mbona povu wapi umebaguliwa ? Au ndio stori zenu za kutunga
Hapna wakaz wakule ni wastaarabu hatuna ubaguzi wowoteZanzibar
Acha ubishi wewe,, labda huo ustaarabu mnafanyiana wenyewe kwa wenyewe ila sio kwa sie tunaotoka baraHapna wakaz wakule ni wastaarabu hatuna ubaguzi wowote
Ubaguzi kule unafanywa na waarabu Coco ndugu yangu hao wengine ni kama wabara tu hawawez baguaAcha ubishi wewe,, labda huo ustaarabu mnafanyiana wenyewe kwa wenyewe ila sio kwa sie tunaotoka bara
Amiii ndivo walivo haoYakhee naona nashambuliwa hapa hata sifahamu kosa langu
Ndugu yangu nipo magomeni hapa mapunga kibao yamejaaa unasemaje kuhusu hiloNaona mnaanza kutuchokonoa na vimaneno ili mradi tuongee tupigwe bani enyii wabaguzi kutoka kisiwa chenye elements za rainbow [emoji304]
Wenyewe wanakwambia #Sharewithpride
Hakika wanatuchukia bila sababuAmiii ndivo walivo hao
Sina la kusema zaidi ya acheni ubaguzi mbona huku kwetu hatuwabagui .tukianza kuwabagua mtajuta mbonaNdugu yangu nipo magomeni hapa mapunga kibao yamejaaa unasemaje kuhusu hilo
TukatembeleaneMjuane mna mpango gani nyie wamakunduchi.
Ubaguzi kule unafanywa na waarabu Coco ndugu yangu hao wengine ni kama wabara tu hawawez bagua
Baadhi sio woteKwaiyo waarabu koko wakuchovya walioko znz wote ni wabaguzi?
Yakhee kwema huko nyuma utokako?Habari ndugu zangu mumeambajee natumai nyote mpo salama
Haya mm ni kijana wa kipemba GOMBANI ila ninaishi dar es salaam . Ningependa kuwa tambua ndugu zangu wengine mliojiunga humu tufahamiane tu.
Ni kweli wapemba ni wakarimu sana ukifika Pemba basi Jua shida zako zote za huko nyuma utatatuliwaAcha ubishi wewe,, labda huo ustaarabu mnafanyiana wenyewe kwa wenyewe ila sio kwa sie tunaotoka bara