Wazanzibari tujuane humu

Habari ndugu zangu mumeambajee natumai nyote mpo salama

Haya mm ni kijana wa kipemba GOMBANI ila ninaishi dar es salaam . Ningependa kuwa tambua ndugu zangu wengine mliojiunga humu tufahamiane tu.
Nasikia kule kwenu mabwabwa wanazidi kuongezeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…