Mrs Kharusy
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 1,244
- 671
Thubutu tena wananchi wanautaka sana tatizo ni hao wanasiasa wenu ambao wanapaspoti 2, na wanao ungwa mkono na Omani, Wananchi wanajua jinsi biashara ilivyowasidia kukidhi riziki zao, Wazanzibar wametepakaa mikoani huku Tanganyika wapo huru wanafanya biashara zao salama, wanjenga majumba hakuna taabu hafu leo uwaambie eti hamuutaki muungano wakukubalie.
Sasa Wazanzibar huo mkataba watasaini na nani wakati serikali ya Tanganyika haipo? Huoni kuwa ni muhimu Tanganyika ianzishwe kwanza ndipo tujadili kuhusu huo mkataba hapo baadae?
Kwani kunahitaji mchakato mkubwa kiasi gani kurudisha Tanganyika mkawa na katiba yenu na kule Zanzibar mda huohuo masharti ya mkataba wa kuungana yanakuwepo? nyinyi Tanganyika mambo munayafanya makubwa ata kufungua mlango wa gari munasema inahitahi muda
Katiba haisjisimamii yenyewe lazima pawepo viongozi watakaosimamia katiba hiyo, mfano Rais au Waziri Mkuu wa Tanganyika na taasisi zake kama ilivyo kwa Zanzibar hao ndio watasimamia utiaji saini wa mkataba.
Ww shida yako ni nn hasa? Unajua km ukishuka tu bandarin znz ndugu zako wamejaa wanauza vinyago? Tena hao wa upande wa pili wakija tanganyika shida iko wapi? Watu munacomment as if wazanzibar hawawezinkuishi bila ya mkono wa tanganyika!...st****
Tukiandamana kuukataa Muungano Tanganyika itatupiga mabomu.,
wewe kiparamsenge usitujazie thread kwa upuuzi wako. Jadili hoja kwa hoja siyo kuchukulia mambo kimzaha.
Tanganyika haina tabia hizo bali viongozi wenu ndo wanaotaka, naona baada ya CUF kuingia madarakani ile kasi ya kuupinga muungano imeisha kabisa
narudia tena msimamo wa kuuvunja muungano sio wa CUF tu bali ni kwa wazanzibar wote hadi kesho, ila kwa vile ndugu zetu wa Tanganyika wamekalia vibaya ata kuuwa watu ndio tukapendekeza muungano wa mkataba angalau na hata huo mkataba wamekataa wameleta serikali 3 kwenye rasim
Kama ni Wazanzibar wote hamuutaki muungano iweje mpendekeze serikali muutake uendelee kuwepo? Unadhani hatuwaoni?
Kichwa chako ni kigumu.,
Ww shida yako ni nn hasa? Unajua km ukishuka tu bandarin znz ndugu zako wamejaa wanauza vinyago? Tena hao wa upande wa pili wakija tanganyika shida iko wapi? Watu munacomment as if wazanzibar hawawezinkuishi bila ya mkono wa tanganyika!...st****
Kijana jibu hoja matusi hayakusaidii, Mkiongeo kwenye tv mnajifanya muungano hatuuataki, mkiwa nyuma ya kamera hoo! Tunataka muungano uendelee sisi tupo kimya tunawaoneni.
1. Nimekujibu mara elf1 zanzibar muungano na tanganyika hautakiwi kwa asilimia kubwa., reason Tanganyika inainyonya Zanzibar.
2. Kwa sababu wahafidhina na kanisa Tanganyika wanafaidika na muungano hawako tayri kwa vyovyote iwavyo kuvunja muungano ndio mana wazanzibari basi wakasema kama haiwezekani kuvunja muungano basi tuwe na muungano wa mkataba angalau kupunguza makali ya muungano kuendelea kuiangamiza zanzibar ili wakubaliane kwa baadhi ya mambo tu.
3. Sasa unaposema kwenye Tv unaona tunasema tunautaka ndio hawo wahafidhina na vibaraka ambao hutumiliwa na kufaidika akina shamsi na wenzake.
4. Usiwe mbabaifu hakuna mtanganyika hata 1 asiyejuwa kuhus zanzibar kwamba muungano hawautaki.,
chukueni hatua msibaki na manung'uniko yakaja kutuumiza nasisi.
Hatua ni pole pole ukila na kipofu usimshike mkono., serikali 3 zikiwepo ni rahisi kuukwamisha muunga na kuutokomeza kuliko ilivyo sasa.,
Kuamua kwenu siyo lazima mkiwa na serikali3, Muungano ni mali ya wananchi wakiamua kuukataa viongozi hawawezi kuulinda hata kwa nguvu ya jeshi.