Mrs Kharusy
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 1,244
- 671
Thubutu tena wananchi wanautaka sana tatizo ni hao wanasiasa wenu ambao wanapaspoti 2, na wanao ungwa mkono na Omani, Wananchi wanajua jinsi biashara ilivyowasidia kukidhi riziki zao, Wazanzibar wametepakaa mikoani huku Tanganyika wapo huru wanafanya biashara zao salama, wanjenga majumba hakuna taabu hafu leo uwaambie eti hamuutaki muungano wakukubalie.
Ww shida yako ni nn hasa? Unajua km ukishuka tu bandarin znz ndugu zako wamejaa wanauza vinyago? Tena hao wa upande wa pili wakija tanganyika shida iko wapi? Watu munacomment as if wazanzibar hawawezinkuishi bila ya mkono wa tanganyika!...st****