Wazanzibari wengi walishindwa kujaza 21% ya ajira kwasababu ya Necta, vyuma vimelainishwa tutegemee kuona wazanzibari wengi zaidi maofisini

Wazanzibari wengi walishindwa kujaza 21% ya ajira kwasababu ya Necta, vyuma vimelainishwa tutegemee kuona wazanzibari wengi zaidi maofisini

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Hapo kabla ufaulu wa mitihani ya form 4 na form 6 ulikuwa mbaya sana Zanzibar, mbaya sana,

Kuanzia miaka ya 2020s ufaulu umekuwa mkubwa sana sio tu Zanzibar ila hata mikoa iliyokuwa ikifanya vibaya bara.

Wazanzibari wengi walishindwa kufika vyuoni kwasababu ya kufeli Necta lakini muda huu wengi wanafaulu kwenda vyuoni, na kama mnavyojua vyuoni uwezekano wa kuhitimu ni mkubwa sana ndio maana hata wenye D mbili za form 4 wakifika vyuoni wanahitimu. ukishahitimu chuo unapewa cheti, tayari unazo sifa za kuajirika.

Ule mgao wa nafasu za ajira 21 % unaenda kujazwa kikamilifu

Katika ajira zinazotrend kwa sasa ni hizi za TRA, wazanzivar wanaenda kulamba 21 % yao
 
Iliifaa zaidi na wabara wapate 21% ya ajira za Zanzibar
 
Ni Muda wao huu kufurahi na kucheka Kwa kuwa mtu wao Sasa hivi ndiyo ameshikilia usukani wa Tanganyika yetu
Hapo kabla ufaulu wa mitihani ya form 4 na form 6 ulikuwa mbaya sana Zanzibar, mbaya sana,

Kuanzia miaka ya 2020s ufaulu umekuwa mkubwa sana sio tu Zanzibar ila hata mikoa iliyokuwa ikifanya vibaya bara.

Wazanzibari wengi walishindwa kufika vyuoni kwasababu ya kufeli Necta lakini muda huu wengi wanafaulu kwenda vyuoni, na kama mnavyojua vyuoni uwezekano wa kuhitimu ni mkubwa sana ndio maana hata wenye D mbili za form 4 wakifika vyuoni wanahitimu. ukishahitimu chuo unapewa cheti, tayari unazo sifa za kuajirika.

Ule mgao wa nafasu za ajira 21 % unaenda kujazwa kikamilifu

Katika ajira zinazotrend kwa sasa ni hizi za TRA, wazanzivar wanaenda kulamba 21 % yao
 
Hapo kabla ufaulu wa mitihani ya form 4 na form 6 ulikuwa mbaya sana Zanzibar, mbaya sana,

Kuanzia miaka ya 2020s ufaulu umekuwa mkubwa sana sio tu Zanzibar ila hata mikoa iliyokuwa ikifanya vibaya bara.

Wazanzibari wengi walishindwa kufika vyuoni kwasababu ya kufeli Necta lakini muda huu wengi wanafaulu kwenda vyuoni, na kama mnavyojua vyuoni uwezekano wa kuhitimu ni mkubwa sana ndio maana hata wenye D mbili za form 4 wakifika vyuoni wanahitimu. ukishahitimu chuo unapewa cheti, tayari unazo sifa za kuajirika.

Ule mgao wa nafasu za ajira 21 % unaenda kujazwa kikamilifu

Katika ajira zinazotrend kwa sasa ni hizi za TRA, wazanzivar wanaenda kulamba 21 % yao
Wanataka tu kuongeza idadi ya ......, wanaona katika hali ya kawaida hawatoboi kwenye usaili. TRA now itakuwa kama NSSF kipindi kile inaongozwa na Mufti fullani hivi.
 
Iliifaa zaidi na wabara wapate 21% ya ajira za Zanzibar
Hawataki yaan hio haipo wewe ukitoka Bara ukaenda kufanya field yoyote Zanzibar unalipia ila wao wakija kufanya field huku Bara ni bure hawalipii chochote
 
Back
Top Bottom