Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha
Hao jamaa ni too lazy
Wanajua pombe na ngono tu
Inategemea hao watu wa kutoka nje ni akina nani. Muuza dawa za kulevya kutoka Nigeria hawezi kukujengea nchi zaidi ya kuleta uharibifu.Mpaka leo marekani inajengwa na watu kutoka nje....alipaswa kujifunza kupitia hapo na si kauli za ovyo kama izi alizotoa
Not Tanzania peoplehttps://www.jamiiforums.com/data/video/1102/1102983-deaad27312b1f2a12bb952e90d26fa41.mp4
Yeyote anayejikomba komba kwa hawa watu wa South, afikirie sana.
Ndio yale yale tena, vijana wa kisasa Afrka Kusini wamezaliwa hawajui pumba za undugu wala nini, wengine hata Mandela hawakumuona, wao vyuma vimekaza kitaa, ukiwapa hadithi za alinacha kwamba mliwakomboa, utakua unatafuta kucharangwa mapanga.
Wameanza tena kutembeza kichapo na kupora mali ya wageni weusi, huku wakipishana na wazungu bila ugomvi. Serikali ya Afrika Kusini imeshindwa kubuni fursa za ajira hadi wanaachia mambo yanafika huku. Wakihojiwa wanaweka kanda za hotuba za Mandela wakitegemea zitawapoza vijana.
Dunia ya leo ni tofauti, raslimali zinapungua, fursa za ajira zimeadimika, vijana wamezaliwa hawajui Mandela, Lumumba, Nyerere wala nani, viongozi wa leo wamesahau kwamba adui wa sasa ni umaskini sio mkoloni wa enzi zile.
----------------------------------------
Over 40 people arrested in South Africa as xenophobic attacks, looting sprees spiral
Police in Johannesburg, South Africa have arrested at least 41 people following Monday’s unrest in what has been deemed as xenophobic attacks on foreigners.
A video shared online showed hundreds of people marching through the Central Business District looting and torching cars with the targeted shops reported to be owned by foreign nationals.
Police were forced to lob tear gas and fire rubber bullets in an attempt to restore calm.
According to BBC Africa, the country’s police minister, Bheki Cele termed the violence as a “criminality rather than xenophobia” for the “senseless violence”.
“Xenophobia is used as an excuse,” he told reporters after visiting the city’s Central Business District, where much of the unrest has been taking place. “Nothing… has sparked any form of conflict between the South Africans and foreign nationals.” Said Cele.
The Monday violence spread to Jeppestown,Denver, Malvern and Tembisa areas.
Nigerian Foreign Minister Geoffrey Onyeama has however lashed out at South African authorities for allegedly failing to protect Nigerian nationals in Johannesburg.
“Received sickening and depressing news of continued burning and looting of Nigerian shops and premises in #SouthAfrica by mindless criminals with ineffective police protection. Enough is enough. We will take definitive measures,” said Onyeama.
The latest unrest is reported to have began on Sunday when a building in Johannesburg’s Central Business District caught fire and collapsed, killing at least three people.
Inategemea hao watu wa kutoka nje ni akina nani. Muuza dawa za kulevya kutoka Nigeria hawezi kukujengea nchi zaidi ya kuleta uharibifu.
Unataka sema south africa wamejaa wauza unga toka nigeria.....mbona marekani drug dealers wapo tena madon ya mexico kabisaaa
Nahisi hata Govt officials wa sauz wanahusika katika kuhamasisha hii mambo maana kauli kama hizi KAMA NI KWELI AMESEMA sio nzuri kabisa katika mstakabali wa umoja wa afrikaView attachment 1196529
Waarabu sio weupe?Huu upumbavu mtaacha lini, kulaumu mweupe kwa kila ujinga wetu, hata kule uarabuni wao hulipuana wenyewe kwa mabomu kisha analaumiwa mweupe.
Watu mjiongeze na kujua adui ni sisi wenyewe baina yetu.
Huwa najiuliza swala kwanini hao wasouth weusi hawapori mali za wazungu wageni ambao ndio wengi?
Hahaha
Hao jamaa ni too lazy
Wanajua pombe na ngono tu
Not Tanzania people
Haha Tanzania ni marafiki wa hao wa Nigeria huko Afrika Kusini hujui unachozungumza . Kuna clip ya mtanzania akielezea namna alivyopoteza mali aliyoshirikiana na Mnigeria kuwekezaNot Tanzania people
Boko haram wajibu mapigo.https://www.jamiiforums.com/data/video/1102/1102983-deaad27312b1f2a12bb952e90d26fa41.mp4
Yeyote anayejikomba komba kwa hawa watu wa South, afikirie sana.
Ndio yale yale tena, vijana wa kisasa Afrka Kusini wamezaliwa hawajui pumba za undugu wala nini, wengine hata Mandela hawakumuona, wao vyuma vimekaza kitaa, ukiwapa hadithi za alinacha kwamba mliwakomboa, utakua unatafuta kucharangwa mapanga.
Wameanza tena kutembeza kichapo na kupora mali ya wageni weusi, huku wakipishana na wazungu bila ugomvi. Serikali ya Afrika Kusini imeshindwa kubuni fursa za ajira hadi wanaachia mambo yanafika huku. Wakihojiwa wanaweka kanda za hotuba za Mandela wakitegemea zitawapoza vijana.
Dunia ya leo ni tofauti, raslimali zinapungua, fursa za ajira zimeadimika, vijana wamezaliwa hawajui Mandela, Lumumba, Nyerere wala nani, viongozi wa leo wamesahau kwamba adui wa sasa ni umaskini sio mkoloni wa enzi zile.
----------------------------------------
Over 40 people arrested in South Africa as xenophobic attacks, looting sprees spiral
Police in Johannesburg, South Africa have arrested at least 41 people following Monday’s unrest in what has been deemed as xenophobic attacks on foreigners.
A video shared online showed hundreds of people marching through the Central Business District looting and torching cars with the targeted shops reported to be owned by foreign nationals.
Police were forced to lob tear gas and fire rubber bullets in an attempt to restore calm.
According to BBC Africa, the country’s police minister, Bheki Cele termed the violence as a “criminality rather than xenophobia” for the “senseless violence”.
“Xenophobia is used as an excuse,” he told reporters after visiting the city’s Central Business District, where much of the unrest has been taking place. “Nothing… has sparked any form of conflict between the South Africans and foreign nationals.” Said Cele.
The Monday violence spread to Jeppestown,Denver, Malvern and Tembisa areas.
Nigerian Foreign Minister Geoffrey Onyeama has however lashed out at South African authorities for allegedly failing to protect Nigerian nationals in Johannesburg.
“Received sickening and depressing news of continued burning and looting of Nigerian shops and premises in #SouthAfrica by mindless criminals with ineffective police protection. Enough is enough. We will take definitive measures,” said Onyeama.
The latest unrest is reported to have began on Sunday when a building in Johannesburg’s Central Business District caught fire and collapsed, killing at least three people.
Nahisi hata Govt officials wa sauz wanahusika katika kuhamasisha hii mambo maana kauli kama hizi KAMA NI KWELI AMESEMA sio nzuri kabisa katika mstakabali wa umoja wa afrikaView attachment 1196529
Kuna picha nimeona mtu anawaka moto,maafisa wa polisi wanacheka. |
Kuna picha nimeona mtu anawaka moto,maafisa wa polisi wanacheka.