Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,120
Uvivu una wasumbua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WANAWAOGOPA, WANACHAGUA ADUI AMBAE YUPO WEAKKwahiyo wanawaponda waafrika wenzao ila wazungu wanapishana nao bila shiiiiiiiiiiiidaaaaaaaaa
Dunia ya leo ni tofauti, raslimali zinapungua, fursa za ajira zimeadimika, vijana wamezaliwa hawajui Mandela, Lumumba, Nyerere....
Polisi wenyewe ndio wakatili kuliko maelezo, wakikukamata pasipo umma, utateswa hadi ujutie kuzaliwa...
Kuna video fulani niliwahi kuitazama, polisi wa AK wanamtesa Mnijeria kwa kumpiga hadi kwenye mapumbu.
Dunia hii hakuna aliye salama, raslimali zikipungua, hata ndugu huanza kuonana wabaya, kwanza kama wewe sio mtoto wa damu wa babako, kwamba labda mama aliolewa akiwa nawe tayari, ndugu zako wanaanza kukubagua na ukizubaa unachezea mapanga.
Binadamu ni mnyama, kila mmoja wetu ana hulka za kinyama, ni ile tu huwa tunajidhibiti. Ona picha hii ya wanajeshi sijui wa nchi gani, yaani badala ya kukamata mtu awe mfungwa, wanamumaliza kwa matofali.
![]()
Mimi naona hiki kinachotokea huko AK kina mkono wa dola. Kuna nyingine pia polisi wa AK anampiga risasi mtu anayeonekana kuwarekodi. Binadamu sisi kweli ni wanyama sana. |
mbona hujamtaja mzee jomo kenyatta?. mayouth wa nairobi wanamfahamu?.
jomo kenyatta akumbukwe kwa lipi? ni swali tu usi panicmbona hujamtaja mzee jomo kenyatta?. mayouth wa nairobi wanamfahamu?.
Wewe cha upuuzi wako mimi nipo south africa mji unaofanya fujo ni jose tena kwa wapopo tu sio wa Tanzania wala ugandaHaha Tanzania ni marafiki wa hao wa Nigeria huko Afrika Kusini hujui unachozungumza . Kuna clip ya mtanzania akielezea namna alivyopoteza mali aliyoshirikiana na Mnigeria kuwekeza
I live in one of the most beautiful city in the worldMkivimbiwa ubwabwa ubongo huwa unawahama, hivyo kama sio Watanzania ni haki kwa hao wanaotiwa viberiti. Umejua kwa kigezo gani kwamba sio Mtanzania, hivi unajua na Watanzania huchezea mapanga kila wakati haya mazombi yanakurupuka, au unafikiria huwa wanakua na fursa ya kuskliza mambo ya mliwakomboa, yaani kwao kama huongei vilugha vyao unaitwa makwerekwere na kucharangwa au kutiwa kibeirti.
I live in one of the most beautiful city in the world
Johannesburg i have my businesses i don't know what you're talking about
![]()
Kenyans hit in S.Africa attacks - VIDEO
Kenyan High Commissioner to South Africa Jean Kamau says Kenyans attacked in Gauteng.mobile.nation.co.ke
Ndio uzuri wa ubalozi wetu popote, huwa wapo makini sana kufuatilia taarifa za Wakenya wanaoishi huko.
Balozi nyingine huwa zinafanya hivyo pia.
Kutoa taarifa ni moja, ila kufuatilia watu wako ni jambo lingine, kunazo balozi hutelekeza watu wake kabisa hadi inabidi makelele yaibuke ndio zianze kutoa taarifa.
Unakumbuka hizi taarifa http://mchaka2news.blogspot.com/2015/04/watanzania-hatarini-ghasia-za-afrika.html
Come on South Africa is safe if you are sensibleToka kwa hao wazungu unaowabebea mabox nenda kitaa kwa weusi halafu uanze kuongea ongea lugha isiondena nao tuone kama utapata hata fursa ya kuandika upupu humu.
Done or chosen in accordance with wisdom or prudenceHivi unaelewa maana ya neno 'sensible' au unatumia tu ilimradi, hivyo wanaotiwa viberiti sio 'sensible'.