Hili nilipumbavuCome on South Africa is safe if you are sensible
naomba nicheke πππππππππππππππππππππππππππππππππHili nilipumbavu
Polisi wenyewe ndio wakatili kuliko maelezo, wakikukamata pasipo umma, utateswa hadi ujutie kuzaliwa...
Kuna video fulani niliwahi kuitazama, polisi wa AK wanamtesa Mnijeria kwa kumpiga hadi kwenye mapumbu.
Dunia hii hakuna aliye salama, raslimali zikipungua, hata ndugu huanza kuonana wabaya, kwanza kama wewe sio mtoto wa damu wa babako, kwamba labda mama aliolewa akiwa nawe tayari, ndugu zako wanaanza kukubagua na ukizubaa unachezea mapanga.
Binadamu ni mnyama, kila mmoja wetu ana hulka za kinyama, ni ile tu huwa tunajidhibiti. Ona picha hii ya wanajeshi sijui wa nchi gani, yaani badala ya kukamata mtu awe mfungwa, wanamumaliza kwa matofali.
Uarabuni kule usiguse kule mweupe anahusika kindaki ndaki .Huu upumbavu mtaacha lini, kulaumu mweupe kwa kila ujinga wetu, hata kule uarabuni wao hulipuana wenyewe kwa mabomu kisha analaumiwa mweupe.
Watu mjiongeze na kujua adui ni sisi wenyewe baina yetu.
Who?DickheadHili nilipumbavu
Inategemea hao watu wa kutoka nje ni akina nani. Muuza dawa za kulevya kutoka Nigeria hawezi kukujengea nchi zaidi ya kuleta uharibifu.
Com kiss ma asi[emoji48][emoji48][emoji48]Come on South Africa is safe if you are sensible
Kwani huku kwetu tunavyochoma moto wezi hamna mamlaka?Kwanini mamlaka zisidhibiti hizo dawa za kulevya kama ni haramu?