Hujanielewa!Sio kweli, wanafundishwa yanayoendana na umri wao
je kuna mzazi anaweza kumfundisha ngono mwanae wa miaka 8 ?Hujanielewa!
Unataka kuvunja ndoa niniSiwezi kupata connection na kupata house Girl toka Tunduru vijijini ?
Msaada tafadhali yan nitatuma nauli na yakutolea juu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukwel hayo mambo yalkuwap tanvu mdaWatu wa mnaotokea huko na mpo JF tupeni uzoefu na ushahidi wenu,huo ni utamaduni wenu? Nanyi mlifundishwa hayo mambo ktk umri huo?
Kiki tu hapoSasa tatizo liko wapi au kiki tu za mtatiro.
Yale yanafanyika ni ndan ya mwez tu tena haizuii hata mwanafunz kwenda shule ila tu huyo kiongoz ndio haeshim destur na tamaduni za jamii husikaWazazi wa hao watoto miaka kadhaa ijayo watakuja kusema ooh ona vitengo vyote serikalini vinaongozwa na Wachaga/wahaya etc wkt wenzao wanapeleka shule watoto wao wenyewe walikua bize kufundisha watoto wao namna ya kutoa-mbwaa.
Duuh hatari sana,hii mila pambaneni nayo siyo nzuri kabisa mkuuKiukwel hayo mambo yalkuwap tanvu mda
Na umri alioutaja hapo n mkubwa mno
Weng hufanyiwa pind wanaanza kutoka maziwa/matiti
Mfano mm dada zangu walifanyiwa wakiwa na umri wa miaka kama kumi na mbili hv au tatu, na walkuwa hawakatazwi
AiseeeeHao wote ni makada wa CCM tatizo lipo wapi?
Nashauri hao wote wapelekwe gereza lenye wafungwa wa kiume wakaoneshe huo ujuzi wao wa kugegedana.
Tunaendelea vizuri na uchumi wa kati.
Tz oyeeeeeee!!!
Oyeeeeeeewamama wa tunduru wanajua kutengeneza assets anajua kabisa hapa baada ya mda Fulani ntakula matunda tunduru oyeeeeeeee
Tumedhalilishwa Wangapi hapo? Mambo mengine yanahitaji hekima na umakini. Mwisho litaisha kama lile la wakukeketwa. Jaman Tunduru na kukeketa wapi na wapi! Mwisho wa hili ni kuwachangisha pesa kama lile la kukeketa.Sio kweli, wanafundishwa yanayoendana na umri wao