Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
Toka ujana wako wote mpaka unafikia umri huo hukujenga hata kichumba na kisebule eti unasubilia kijana wako uliemzaa asome kuanzia kindigate mpaka chuo, atafute ajira, ahangaike weee!! Ndo aje akujengee??? Aaahhh! Uzembe ulioje huo?
Yaani wewe miaka yote ya ujana wako mpaka unazeeka ulishindwa kujenga, Leo kijana kajitafuta weeee kapata visenti kidogo badala nae anze kupanga plan za maisha yake na familia yake eti unataka uanze kujengewa kwanza wewe(na pengine hata shule ulishindwa kumlipia Ada). Kasoma kwa kuunga unga mpaka kafika alipofika, wewe mzazi kusikia kijana kapata kijikazi tayari ushaanza kutaka utatuliwe shida zako zote ambazo wewe mwenyewe kwa uzembe wako ulishindwa kuzitatua kwa ujana wako wote.
Mzee unafikisha miaka50 huna hata kiwanja, huna hata shamba, ujana wako wote uliutumia vibaya kudhulura Kila mkoa bila tija yoyote, kula Bata, pombe na kubadiliaha wanawake ukasahau kwamba ujana ni mfupi kuliko uzee.
Sasa umri umeenda huna asset yoyote,huna kibiashara chochote unategemea vijana ambao ulisahau kuwajengea hata msingi kwa Kila hitaji lako. Aisee hii sio sawa
Kwa kuhitimisha niwashauri vijana wote ambao ndio wazee watarajiwa kwamba muda wa kuhakikisha Kila kitu kinakuwa sawa ni sasa, acha kuchezea pesa, hizo pesa unazochezea sasa Zina muda wake.
Now day tunakushauri kuhusu kutumia pesa vizuri unatujibu kwamba tuachane na maisha Yako! Mala "maisha ni Yako tushughulike na yetu" sawa tunakuacha lkn uzeeni hatutaki kutiliwa huruma na vijilawama uchwara. Ooohh! "Flani ana roho mbaya hataki kunisaidia" oooohh "jamaa anaringa kisa anavipesa n.k....
Yaani wewe miaka yote ya ujana wako mpaka unazeeka ulishindwa kujenga, Leo kijana kajitafuta weeee kapata visenti kidogo badala nae anze kupanga plan za maisha yake na familia yake eti unataka uanze kujengewa kwanza wewe(na pengine hata shule ulishindwa kumlipia Ada). Kasoma kwa kuunga unga mpaka kafika alipofika, wewe mzazi kusikia kijana kapata kijikazi tayari ushaanza kutaka utatuliwe shida zako zote ambazo wewe mwenyewe kwa uzembe wako ulishindwa kuzitatua kwa ujana wako wote.
Mzee unafikisha miaka50 huna hata kiwanja, huna hata shamba, ujana wako wote uliutumia vibaya kudhulura Kila mkoa bila tija yoyote, kula Bata, pombe na kubadiliaha wanawake ukasahau kwamba ujana ni mfupi kuliko uzee.
Sasa umri umeenda huna asset yoyote,huna kibiashara chochote unategemea vijana ambao ulisahau kuwajengea hata msingi kwa Kila hitaji lako. Aisee hii sio sawa
Kwa kuhitimisha niwashauri vijana wote ambao ndio wazee watarajiwa kwamba muda wa kuhakikisha Kila kitu kinakuwa sawa ni sasa, acha kuchezea pesa, hizo pesa unazochezea sasa Zina muda wake.
Now day tunakushauri kuhusu kutumia pesa vizuri unatujibu kwamba tuachane na maisha Yako! Mala "maisha ni Yako tushughulike na yetu" sawa tunakuacha lkn uzeeni hatutaki kutiliwa huruma na vijilawama uchwara. Ooohh! "Flani ana roho mbaya hataki kunisaidia" oooohh "jamaa anaringa kisa anavipesa n.k....