Wazazi hawana budi kuandaa kesho bora ya mtoto wao

Wazazi hawana budi kuandaa kesho bora ya mtoto wao

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Kama umezaliwa umekuta wazazi wako wapo well financially, huwezi kulalamika kukosa ajira zetu hizi za laki Saba kwa mwezi.

Mzazi/wazazi usifanye Mambo ya kuzaa tu ebu fikiria huyo unayemzaa umemuandaaje kuja kuishi vvizui.

Binafsi mambo ya umasikini tunasema tumerogwa lakini Hakuna uchawi, kilichopo wazazi walifanya makosa ilibidi wakuandalie miondombinu ya wewe kutumia.

Mfano eti mtu unatoka chuo unaanza Biashara na mtaji wa 100k hivi utatoboa lini.

Wazazi wa kibongo mjitatakari Sana hakikisha mtoto unamuandalia Mali za kutosha akitoka chuo Kama hamna Ajira mpatie mtaji unaoeleweka akapambane mpe hata mil 20 kwa kuanzia.

Nasema hivi kwa sababu nimeona graduate wengi wanabeba zege Kazi ngumu hivi hii ni kweli!!?

Unatoka chuo unajua nyumbani kila kitu kipo Basi unakuwa na peace of mind .
Unajua wapi utaanzia binafsi wazazi wetu waliamua kuzaa tu ili future yatu ibaki Katika nature.

Fallacy
 
Kama umezaliwa umekuta wazazi wako wapo well financially, huwezi kulalamika kukosa ajira zetu hizi za laki Saba kwa mwezi.

Mzazi/wazazi usifanye Mambo ya kuzaa tu ebu fikiria huyo unayemzaa umemuandaaje kuja kuishi vvizui.

Binafsi mambo ya umasikini tunasema tumerogwa lakini Hakuna uchawi, kilichopo wazazi walifanya makosa ilibidi wakuandalie miondombinu ya wewe kutumia.

Mfano eti mtu unatoka chuo unaanza Biashara na mtaji wa 100k hivi utatoboa lini.

Wazazi wa kibongo mjitatakari Sana hakikisha mtoto unamuandalia Mali za kutosha akitoka chuo Kama hamna Ajira mpatie mtaji unaoeleweka akapambane mpe hata mil 20 kwa kuanzia.

Nasema hivi kwa sababu nimeona graduate wengi wanabeba zege Kazi ngumu hivi hii ni kweli!!?
Ahsante kwa muongozo.

Ila usimpe hela pasipo kumfundisha namna ya kuizalisha.

Tengeneza miradi, umfundishe kuisimamia/kuiendesha then akiiva umpe apambane.
 
Sidhani Kama Kuna mzazi ambaye anaweza kufurahia kuona mwanaye akiteseka.
Kila mzazi huwa anatamani Sana kumuona mwanaye akifanikiwa ila sema tu wazazi wengi huwa hawana huo uwezo wa kuwainua wanao kiuchumi.
 
Sidhani Kama Kuna mzazi ambaye anaweza kufurahia kuona mwanaye akiteseka.
Kila mzazi huwa anatamani Sana kumuona mwanaye akifanikiwa ila sema tu wazazi wengi huwa hawana huo uwezo wa kuwainua wanao kiuchumi.
Wewe ni mzazi wa kesho pambana ili uwe na huo uwezo, Ukweli ni kwamba wazazi wengi zamani walikuwa wavivu na walikuwa wanajua utajiri ni kwa ajili ya watu special na matajiri wengi ni wachawi
 
Wewe ni mzazi wa kesho pambana ili uwe na huo uwezo, Ukweli ni kwamba wazazi wengi zamani walikuwa wavivu na walikuwa wanajua utajiri ni kwa ajili ya watu special na matajiri wengi ni wachawi
Sawa mkuu
 
Wazazi wetu ni wabinafsi mnoo, wanawaza kujenga na kununua gari. Hapo anaona kamaliza kila kitu., anasubiri kustaafu na kufa. Angalau wazazi wa kichaga ni wapambanaji
 
Back
Top Bottom