Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ikiwa mzazi ambaye anamuwazia mazuri mtoto akimaliza elimu yake ya juu kwa atatumia mahela kibao kugharamia elimu ya mtoto ila by the end!
1. Mtoto anatakiwa akanunuliwe mashine ya popcorn aiweke stand aanze kuuza bisi!
2. Anunue mashine ya kukamulia juisi ya miwa na glass!
3. Aanze kuuza uji kwa kutembeza machupa vijiweni huko.
4. Aanze kubeba zege na usaidia fundi.
5. Aanze kuuza pweza na uduvi maeneo ya stendi!
6. Anunuliwe jiko la mkaa la size ya kuchomea mahindi ya kuchoma aanze kuuza mahindi!
7. Awe mpiga debe stand za vidala dala aunge unge mia mia!
Hapa jukwaani kuna wazazi wengi bila shaka wenye watoto wadogo say 1-8 years! Mnalipa ada kubwa tu watoto wakiwa junior schools 2-3 million per annum! Je, hiki ndio hasa ambacho mtapenda watoto wenu wafanye wakimaliza elimu zao za juu!
Hebu lets be frank guys! Lawama zimekuwa nyingi mno kwa hawa graduates kana kwamba nyie hamna watoto wadogo humo majumbani ambao watakuta the situation is even worst. Hamna ambaye hataki mwanae ale pazuri!
1. Mtoto anatakiwa akanunuliwe mashine ya popcorn aiweke stand aanze kuuza bisi!
2. Anunue mashine ya kukamulia juisi ya miwa na glass!
3. Aanze kuuza uji kwa kutembeza machupa vijiweni huko.
4. Aanze kubeba zege na usaidia fundi.
5. Aanze kuuza pweza na uduvi maeneo ya stendi!
6. Anunuliwe jiko la mkaa la size ya kuchomea mahindi ya kuchoma aanze kuuza mahindi!
7. Awe mpiga debe stand za vidala dala aunge unge mia mia!
Hapa jukwaani kuna wazazi wengi bila shaka wenye watoto wadogo say 1-8 years! Mnalipa ada kubwa tu watoto wakiwa junior schools 2-3 million per annum! Je, hiki ndio hasa ambacho mtapenda watoto wenu wafanye wakimaliza elimu zao za juu!
Hebu lets be frank guys! Lawama zimekuwa nyingi mno kwa hawa graduates kana kwamba nyie hamna watoto wadogo humo majumbani ambao watakuta the situation is even worst. Hamna ambaye hataki mwanae ale pazuri!