Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo unaemwita mke wewe kwake ni mchepuko 😀😀Rafiki ni mkeo, ndugu ni wanao inatosha
Hapa bado hujanishawishi ndio maana namfichaficha hamchelewi kuzingua ili mgonge nyinyi, marafiki nyokoMarafiki wa karibu wana jicho makini kuweza kumtambua mpenzi asiekufaa
Rafiki ni lazima atamjua mchumba wako, kama hamjui huyo ni mshkaji mnajuana kwa juu juu.Hapa bado hujanishawishi ndio maana namfichaficha hamchelewi kuzingua ili mgonge nyinyi, marafiki nyoko
Ndio sitaki mazoea ya kisenge na mtu wangu kwa rafiki amjue mtu wa Musoma huko Geita yeye wa Dar anamjuaje? Acha ujinga wako hapa marafiki kuharibu mahusiano ya watu kisha mnataka mgonge nyinyi au sio?Rafiki ni lazima atamjua mchumba wako, kama hamjui huyo ni mshkaji mnajuana kwa juu juu.
Pole sana, hata marafiki wapo wabaya na wazuri.Ndio sitaki mazoea ya kisenge na mtu wangu kwa rafiki amjue mtu wa Musoma huko Geita yeye wa Dar anamjuaje? Acha ujinga wako hapa marafiki kuharibu mahusiano ya watu kisha mnataka mgonge nyinyi au sio?
Hakuna rafiki mzuri akili kichwani marafiki wa kimaslahi sio marafikiPole sana, hata marafiki wapo wabaya na wazuri.
Inavyoonekana maishani mwako umekutana na marafiki wengi wabaya walioshia kukutumia, kuto kuthamini na aliekuumiza zaidi probably alikuchapia mke, Ni tatizo la kisaikolojia wahanga wa kukutana na marafiki wabaya mtazamo wao hubadilika juu ya marafiki, ni ngumu sana kuja kuamini tena kuna marafiki wazuri.
Huwezi kuamini hayo mpaka ukutane nayo mengi na yaliyokuachia makovu,Hakuna rafiki mzuri akili kichwani marafiki wa kimaslahi sio marafiki
Sihitaji marafiki waduanzi watagonga mpaka mkeo, urafiki urafiki unafiki kuharibiana tuHuwezi kuamini hayo mpaka ukutane nayo mengi na yaliyokuachia makovu,
inavyoonekana kisaikojia umeathirika baada ya kukutana na marafiki wengi wabaya kuzidi wazuri, hii hutokea sana unapokuwa ni mtu unaetumia nguvu kubwa kulazimisha urafiki, huna alternatives, una vitu vingi vinavyovutia watu na hujui kuspot marafiki wabaya unaanza kuona uhalisia wao wakishajipata, n.k.
Nina jamaa ana tatizo kama lako, kakataza mpaka watoto kuleta marafiki nyumbani
ChaiMzazi ana uwezo mkubwa wa kumtambua rafiki wa kweli
Watoto wana kipawa maalum cha kuweza kugundua kirahisi ndugu mnafki
Marafiki wa karibu wana jicho makini kuweza kumtambua mpenzi asiekufaa
uliweza kuwatambua wahusikaMimi ni mzazi. Pia ni mtoto lakini pia ni rafiki.