ukweli mchungu changamoto za uzazi ni kubwa sana nowdays. sababu kuu mabinti wanachelewa kuolewa.
mwanamke wa miaka 30 mimba haipati kwa urahisi kama mwanamke wa miaka 25 ama mwanamke wa miaka 18
30 yrs is a prime for women mental maturity but not for carrying and birthing a human.
WAGANGA WA KIENYEJI NA WATU WA TIBA ASILI, MANABII NA WACHUNGAJI WANAIBIA WANAWAKE
wanawadanganya wamerogwa ndio maana hawapati mimba huku sababu kuu ni umri wa hao wanawake ni mkubwa mayai yamepungua ubora
mwanamke wa miaka 30 mimba haipati kwa urahisi kama mwanamke wa miaka 25 ama mwanamke wa miaka 18
30 yrs is a prime for women mental maturity but not for carrying and birthing a human.
WAGANGA WA KIENYEJI NA WATU WA TIBA ASILI, MANABII NA WACHUNGAJI WANAIBIA WANAWAKE
wanawadanganya wamerogwa ndio maana hawapati mimba huku sababu kuu ni umri wa hao wanawake ni mkubwa mayai yamepungua ubora