Wazazi kamwe msiwaruhusu watoto wenu kuangalia filamu za kutisha (zombie & violent movies), kuna mkakati hatari wa shetani kwenye movie hizi!

Wazazi kamwe msiwaruhusu watoto wenu kuangalia filamu za kutisha (zombie & violent movies), kuna mkakati hatari wa shetani kwenye movie hizi!

Mtoto ni sawa na flash tupu ni wewe mzazi jukumu lako umfeed Nini ili flash ijae ukitaka ngono, pombe bangi udangaji za Kina diamond harmonize zuchu ni wewe hao hawana hasara kwa mikataba waliyoingia kubomoa jamii ili wapate pesa
 
Shida ni kua jamii nzima ya kitanzania hatuna uelewa wa Parental Guidelines (PG)
Watengeneza muvi wala hawana shida maana muvi inakua ishawekewa Rankin zake kama iangaliwe watu miaka yote, 13PG au 16PG.

Sasa unaweza kuta mzazi anaangalia muvi yenye ranking ya TV-MA yupo pamoja na watoto. Au hajali watoto wanaangalia muvi yenye ranking gani. Hata Cartoon zina ranking yake sio kila katuni ni ya kuangalia mtoto. Kuna kama katuni za Adult Swim huko hakuna content za kitoto.
Nadhani elimu ndio inapaswa kutolewa kwa wazazi juu ya jambo hili. Mchawi wetu ni ujinga

Nishawahi ongea kuhusu hili..
Hizi akili hatuna.tukitoka hapo tunalaumu wazungu na shetani.
 
Kuna movie ziko restricted kuziona hata kama upo above 18 years. Na hizi mara nyingi kuzipata hadi uingie dark web. Na zipo categorized kama experimental films
 
Watoto wepi hao au wa hiki kizazi cha watoto kuwaangalia wakina zchu na uchafu mwingine wa kwenye TV


Ova
 
Batman, monster university, spider man, scoops doobu, cartoon za kwenye tv,kama umeamua kumuharibu mwanao mwache aziangalie,
Bora umdownloadie cartoon za kuchagua mwekee kwenye flash.
Spider man wanapromote ushoga cocomelon Wana katuni za mafundisho kwa watoto japo Kuna mwaka Kanisa Duniani liliwashutumu walitoa katuni ya kupromote ushoga.
Hivi hii miziki yenu haiwaaribu watoto wenu

Ova
 
Wabibi Huwa Sio walezi kwanza wamechoka ni kuwapa mzigo pili hawana uwezo wa kuendana na pressure za Sasa hivi .
Mimi hata mtoto akiimba
.Hanii aaah hanii
.Boloo bolo eh bolo
.Kamatia chini
.Ikatikie
.Nyege nyegezi
.weka nchomeke
. amelowa
.Chura
.okonkoo nikukupa utawezana
Hapa bibi haelewi hizi code za ngono lakini watoto wa Sasa hivi wanazifungua vizur maana zake.
Hawa mawakala wa shetani walioingia mkataba kuibomoa jamii wanachojali ni pesa tu.
Usipomlinda mtoto wako jamii haiwezi kumlinda.
 
Nyumba ya katuni Pana ushetani mkubwa Sana watu hawaelewi tu
 
Duu kila kitu shetani mara Mungu ,akili mufilisi hizi.
 
Back
Top Bottom