Shida ni kua jamii nzima ya kitanzania hatuna uelewa wa
Parental Guidelines (PG)
Watengeneza muvi wala hawana shida maana muvi inakua ishawekewa Rankin zake kama iangaliwe watu miaka yote, 13PG au 16PG.
Sasa unaweza kuta mzazi anaangalia muvi yenye ranking ya TV-MA yupo pamoja na watoto. Au hajali watoto wanaangalia muvi yenye ranking gani. Hata Cartoon zina ranking yake sio kila katuni ni ya kuangalia mtoto. Kuna kama katuni za Adult Swim huko hakuna content za kitoto.
Nadhani elimu ndio inapaswa kutolewa kwa wazazi juu ya jambo hili. Mchawi wetu ni ujinga
Nishawahi ongea kuhusu hili..
Head's Up: Maneno nitakayoandika hapa haimaanishi kua nina dharau Uweza na Uumbaji/ Status ya-wa mwanamke katika Jamii. Kwanza kabisa mimi ni mpenzi wa Superhero based content, hasa content zinazotengenezwa na kampuni ya Marvel. Muvi hizi zinapendwa na watu wengi sana duniani wa rika zote na...