私たちは社会の中で生きており、女性たちのリアルな生活状況は知られています。そしてこれが、彼らが人生の安らぎを得るという基準で関係を結ぶ主な理由です。現在の環境で、経済的にうまくいっていない場合は、適切な人間関係を見つけることを期待しないでください
Nilikuwa anxious kujua umeandika nini, sijui kwanini. But thanks to Google Translator inaniambia umeandika hivi "We live in society, where the real life circumstances of women are known. And this is the main reason why they form relationships based on the standard of gaining peace in life. In the current environment, if things are not going well economically, do not expect to find proper relationships."
Well, I am a woman. Na katika mitazamo ya kidunia hasa zama hizi, uhusiano baina ya mwanamke na mwanaume umekuwa based on win-win situation, or rather naita ni lose-lose situation kwakuwa mostly hakuna anayebenefit moja kwa moja, sooner or later, inakurudia, a virtuous cycle of a morally ill society.
Having said so, nadhani wanaume wamekuwa enablers kuwafanya wanawake waone mahusiano ni exchange kati ya mwili na fedha, na kutokana na kukosekana upendo wa kweli, wanawake nao wameamua kwenda along na game kama ilivyo. Kwa mwanaume yeyote, mwanamke unayemchezea leo ni mke mtarajiwa wa mwanaume mwenzio, na wakwako pia anachezewa hivyo hivyo somewhere, or worse, binti yako yuko destined kupitia hayo hayo, and your sister as well, there is nothing you can do, maana ndiyo jamii tunayoiishi na umekuwa sehemu ya hayo maisha, lose-lose situation directly and indirectly.
Binafsi nimejifunza to walk away when love is missing, na nimekataa kufanya hiyo exchange, and I will make sure it doesn't happen to my future offsprings. Cha msingi ni kuridhika na ulichanacho, when you fall victim, inuka na uondoke hapo hapakufai.
Ujumbe kwa wanawake wenzangu, si wajibu wa mwanaume asiye mumeo kukuhudumia, if you demand that, unajiuza. Likewise, make love when you feel like doing so, siyo kumfurahisha mwanaume. Huyo wala siyo mmeo kusema unatimiza wajibu.
But all in all, given that utamaduni wa Kitanzania unaona sex ni taboo, ni asilimia ndogo sana ya wazazi wanaweza kushawishi mabinti zao kufanya mahusiano for monetary exchange, ni maamuzi na tamaa ya binti mwenyewe tu kulingana na maisha ya sasa kama nilivyoeleza hapo juu.
Have a good Saturday everyone 😊.