Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Baaada ya huzuni siku nzima usiku nikabahatika kuhudhuria harusi moja nzuri ya furaha na bashasha ya Wanyakyusa vs Wanyalu
Ilipofika nasaha binti ni mnyakyusa akasimama Baba ''Mwanangu sina mengi ila nikukumbushe simu yako simu ya mumeo nisisikie kesi ya simu mimi ninemaliza...''
Zamu ya mama ''Mwanangu nimefanya yote upande wangu iliyobaki kutekeleza kwa mumeo. Kingine mwanangu mumeo si alikuwa anakupigia unapokea na hujaolewa bado! Naomba nikuonye mwanangu simu sumu narudia simu ya mumeo sumu na wewe mkwe wangu simu ya mkeo sumu. Waswahili wanasema pita kule tuliamka kwa shangwe na nderemo mama sema usiogopee sema..
Pamoja tulicheka nikaona kuna udhaifu ulitokea nyie mnaoenda kuozesha mjifunze. Halikisheni mnachoenda sema ni kimoja ndio maana wachaga ujinga huu haupo akiitwa baba ..akaja itwa mama anasema nafikiri yoote baba amemaliza niwatakieni maisha mema
Nini tumejifunza
1. Mahusiano ya wakwe sio mazuri
2. Heshima
Hata kama baba amekosea mwanamke ulitakiwa mkitoka mwambie mwanao na mkweo na sio kupingana mbele ya umati. Wanyakyusa mpoo niongeze voice?
3. Hawana umoja kabisa....hii inamaanisha yale mambo ya changu chako yamo ndani.
Ujumla mengi yako kwa wakwe na pengine walishawahi fumaniana kwenye simu siri yao.
Ushauri
Msishindane mkitoa nasaha mtoe kitu kimoja shida zenu za ndani mafuruku kuonyesha nje.
Ilipofika nasaha binti ni mnyakyusa akasimama Baba ''Mwanangu sina mengi ila nikukumbushe simu yako simu ya mumeo nisisikie kesi ya simu mimi ninemaliza...''
Zamu ya mama ''Mwanangu nimefanya yote upande wangu iliyobaki kutekeleza kwa mumeo. Kingine mwanangu mumeo si alikuwa anakupigia unapokea na hujaolewa bado! Naomba nikuonye mwanangu simu sumu narudia simu ya mumeo sumu na wewe mkwe wangu simu ya mkeo sumu. Waswahili wanasema pita kule tuliamka kwa shangwe na nderemo mama sema usiogopee sema..
Pamoja tulicheka nikaona kuna udhaifu ulitokea nyie mnaoenda kuozesha mjifunze. Halikisheni mnachoenda sema ni kimoja ndio maana wachaga ujinga huu haupo akiitwa baba ..akaja itwa mama anasema nafikiri yoote baba amemaliza niwatakieni maisha mema
Nini tumejifunza
1. Mahusiano ya wakwe sio mazuri
2. Heshima
Hata kama baba amekosea mwanamke ulitakiwa mkitoka mwambie mwanao na mkweo na sio kupingana mbele ya umati. Wanyakyusa mpoo niongeze voice?
3. Hawana umoja kabisa....hii inamaanisha yale mambo ya changu chako yamo ndani.
Ujumla mengi yako kwa wakwe na pengine walishawahi fumaniana kwenye simu siri yao.
Ushauri
Msishindane mkitoa nasaha mtoe kitu kimoja shida zenu za ndani mafuruku kuonyesha nje.