Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hata udangaji una mwisho wake.Sema siku hizi wengi wa dada zetu wananufaika sana na udangaji, so wanaona kuolewa ni kubanwa na kupoteza muda.
Mwanamke hawezi tegemea atadanga maisha yake yote.
Kuna umri utafika hata mwanaume wa kumdangia atakosa, Yani value yake itakuwa imeisha haswa.