Wazazi mmekuwaje?

Wazazi mmekuwaje?

Mpumbavu mkubwa wewe! Kumbe ndio uwa una uharo kiasi hiki?? Pole kwa aliekuoa na mama zako, unaishi wapi kwanza? Mpaka hao waarabu unasema malaya? Narudia kukuambia kama uligawa K kabla ya kuolewa au dada zako wote sio mabikra ndio maana hawaolewi uisje na povu humu! Unasema Miki ndio balehe unanijua? BIKRA NI BIKRA TU, MPE HESHIMA YAKE MALAYA NI MALAYA TU!! FULL STOP, MWANAMKE GAJI ATARUHUSU KULIWA K KABLA YA KUOLEWA?? UMALAYA NI TABIA YA KURITHI KUBALI AU KATAAA HAITOBADILIAHA KITU CHOCHOTE, MWANAUME ANAEOA LIMWANAMKE LILIOLIWA NA WANAUME KIBAO HUYO EIDHA MAMA YAKE HAKUA BIKRA KIPINDI ANAOLEWA AU HUYO NI FUKARA KUPITA KIASI, ILA KWA WANAOJIELEWA HAWAWEZI KUOA KITU USED WAKATI VIPYA VIPO, SASA HAPO MME WAKO ALIKUWA NA SIFA GANI KATI YA HIZO?
Ngojea nikuache ukiacha balehe utakua nakuelewa unaongea utumbo.
Hao waarabu mimi naishi nao.
Umalaya ni chaguzi,mtu ukichagua kuwa malaya utakua.
Pia matusi hayakusaidii kitu.
Pia sitakutukana maana sitaki kuonekana MPUMBAVU kama wewe,UKIMALIZA BALEHE KAJIFUNZE ELIMU YA KIJAMII HUWENDA UKAELIMIKA.
ila kwa sasa ngojea nikuache huna akili ya kujadiliana na mimi utaniambukiza ujuha.
Pia mimi sio mwanamke pia UKOME kuhusisha wazazi wa Watu kuwa na adabu laa sivyo naku report kwa mods sasa hivi.
 
Pole sana cha msingi na sekondari ebu jaribu kuwasiliana na wachumba ujue wanasemaje kuhusu ndoa! Mara nyingi nao bado wanatafuta kikubwa ni kumuomba Mungu ipo siku utampata wa kufanana nae!
 
It's plenty
Screenshot_20240710-205741~2.jpg
 
Utapata ukitaka...😀😀😀hakuna mwanaume ata resist kama uko na wife material fichazi...cha kwanza ni kuwa na uhitaji kutoka moyoni...sio unasema unataka kuolewa ila matendo yanaonesha unapinga ndoa...
Wewe ndiye umeongea point! Asante sana muhimu matendo yawe mema
 
Sasa binti, we huoni tu dalili humu JF, binti akifika 30s wanavompopoa na wengi wanavokuja kutafuta waume humu?
Unaeza kulaumu au kuona wazazi wanaimba ngonjera lakini kaa ukijua kwa sisi wanaume, ni very rare kuoa mtu alie na umri mkubwa. Kwanza kuanzia 30s hata uzazi ni geriatrics.
Wasichana wana window flani between 24 and 28 years, hyo ndo window ambayo ni rahisi kuolewa lakn wengi hua hawaioni, ukishatoka hapo, utahaha kwa sababu ni rare kupata wa makamo yako.
Wengi watabisha, lakn ndo hali halisi.
Maybe kama uko huko mambele
Hii umepiga kwenye mfupa dadeq!. Sioi binti alievusha 30s kwanza itakua kujitaftia nuksi tu
 
Back
Top Bottom