Wazazi mmekuwaje?

Assume mimi ni baba yako chupi na kanga vidondoke ukiwa unatokea bafu la wageni sababu bafu lako Kuna wageni wengine hivi utasema samahani au utanyamaza,na je shamba boy akikumegea utamu ndani ya nyumba yenu na baba akakufumania utafanyaje,na je baba yako akitoka kazini akamchumu mama yako kwa bahati mbaya ukiwa unatokea utajiskiaje.Wazazi wanataka uwe huru na maisha yako na yao wawe huru
 
Sasa unakuta bnt tayar anakimbza miaka 40s hana nyuma wala mbele sasa ukute wazaz wamechangamka lazma wakufunguwe macho vp uyu nae aoni anaenda kuwa ajuza ana mume atazeeka na utamu ivi ivi kwl ndy maana wanakupambania uolewe iyo n wajibu kwa mzaz yeyote yule
 
Watoto wajue tu kuwa jukumu la malezi ni kubwa, sacrifices wanazoingia wazazi sio ndogo, ila pia wazazi hawapendi kuona binti zao wanazalia nyumbani, naamini kabisa hakuna mzazi anatamani kuona binti yake anazaa akiwa home.

Ukimaliza chuo, kwa hali ya sasa kama wazazi wamefikia mwisho wa kukusomesha, what next...ajira zenyewe hizi, mzazi hawezi hata kukusaidia kufungua genge la nyanya, unadhani anafurahi kuona unaamka saa5? Hatamani uwe loose ball, ni rahisi sana kujiingiza kwenye makundi ya kihuni ili upate pesa.

Umri nao hausubiri, kuanzia 26 alarm inaanza kulia, 30 ni desperate time...baadae utasema lemme just conceive maisha yaende..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…