Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
😁😂😂Kumbe kijijini wanakugombania😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😂😂Kumbe kijijini wanakugombania😂
Unamwambiaje hivyo tajiri huyo😂Punguza shombo
Du aiseeMiaka 15 nyuma, kuna binti nilimuelewa sana ,ila yy alikuwa na akili km hz , nasikia sasa hv ni single maza, jamaa walipita wakaacha mbegu azilee
Hahahahaha, ndio hivyo,Du aisee
Chuwa umetisha sana.😂😂Masandale kwa mama kibena,kuna watoto wengi sana wanatulilia mkuu , ndio maana kuoa inakua ngumu😁😁😁
Hahahahaha ,Mungu and baridi niwe Tajiri mkubwa ,tuseme AmenSawa sawa tajiri!😂
Maisha hayaHahahahaha, ndio hivyo,
ni kweli mnapenda sana vya bure ndo mnapoumia😂Punguza shombo
Laana za wapare katubu sheikhMasandale kwa mama kibena,kuna watoto wengi sana wanatulilia mkuu , ndio maana kuoa inakua ngumu😁😁😁
Huyu bado anajishebedua, hajui hii mada ni chungu kwa mabinti wengi tu huku mtaani,Kwa wewe ulileta mada ili tutaniane, basi ungeweka wazi...hii sio mada ya ku~chitchat, inagusa maisha ya vijana wetu, hata kama sio wewe personally.
Kama ulileta tutaniane ni sawa tu!!
Why chuwa mangi?😁😁😁Chuwa umetisha sana.😂😂
Mama sasa anapewa presha na baba,sababu wote wanasikia simu zako hasa za usiku.mkitakiana usiku mwema.Mchumba yupo ndoa ndio hakunaaa😂
Hahahahaha, hao viumbe waone hivyo hivyoMaisha haya
Nilijua utakuja mzee wa ndale 😁😁😁Laana za wapare katubu sheikh
Dunia mbaya inatoa fundisho kwa njia ngumu mnoMiaka 15 nyuma, kuna binti nilimuelewa sana ,ila yy alikuwa na akili km hz , nasikia sasa hv ni single maza, jamaa walipita wakaacha mbegu azilee
Asiye sikia la mkuu huvunjika guuDunia mbaya inatoa fundisho kwa njia ngumu mno
Mkuu! Wewe ndiye umeandika kitu kinachoendana na dunia ya sasa hiviMabinti wote niliograduate nao chuo na kuolewa haraka wanaishi maisha duni. Cha ajabu wote walikuwa watumishi na watu wa imani, kasoro gumegume mmoja aliolewa na mzungu kibabu ana miaka kama 65 wako Marekani kwa sasa.
Hao walioolewa hawajapata kazi hadi sasa, na maisha sio mazuri kivile ukizingatia elimu yao hawajaitumia ama kuajiriwa ama kujiajiri. Kuna ambao nina ushahidi wanajutia na mwingine nimemchangia gharama za hospitali.
Mtu kamaliza chuo hajaenda intervie yoyote, hajaajiriwa au kujiajiri. Huyo mbio kafunga ndoa. Hapo ana honeymoon, akitoka analea mume, akitoka anapewa mimba, analea mimba, anajifungua, analea kichanga. Baada ya hapo tiyari hatakiwi kukaa mbali na mtoto, hawezi tena kuwa free kwenda interview siku ya interview mtoto anaamka anaharisha.
Unakuta hamna hamna miaka miwili imekatika wapo tu hamna hatua wamefanya. Familia changa inakula hela balaa, gharama za maisha zimepanda. Mke elimu anayo ila kazi hana.
Nashauri binti ukimaliza chuo focus kwanza kuwa na chochote cha kuingiza kitu. Ajiriwa kwanza, hivi nani atakuajiri private sector ukiwa na mtoto wa miezi 6 kila siku una dharura? Alafu entry level opportunities zina mizunguko mingi huiwezi ukiwa na ndoa changa na watoto wadogo.
Kazi za serikali chache. Unless uhakikishe unayeolewa naye anaweza cover kila kitu, mna nyumba na bima na cashflow ya kueleweka.
