Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki uadhirike mwanetu tunakupenda sana ujueNdio maana navyosoma comments zenu wazazi nacheka jinsi mlivyopanic mnaongea kwa hisia😂😂
Kwa Nini hautaki ??Kuolewa mimi bado! Tuangalie miaka 5 ijayo😂
Hahahahaha inawezekana, isije mwisho wa siku ukajifanya umeolewa na Bwana YesuKapeace anasema ninajishebedua😂
Naunga mkono hojaHatutaki uadhirike mwanetu tunakupenda sana ujue
usije itaka harusi kwa pupaaHatutaki uadhirike mwanetu tunakupenda sana ujue
Dogo tena nyie wachaga mna kasumba ya kuzalisha sana, sijui nani kawaloga..ukijumlisha na hii slogan yenu ndio shida kabisa🤣Kaka mkubwa , tunaijaza dunia😁😁
Hahahha dot.com ni nyie usituchanganye😆😆😆😆Wazee wa zamani wanashindwa kuelewa hiki ni kizazi cha dot.com😂😂😂
Hiki kizazi cha 2000 kinapenda kamseleleko Kapeace yupo sahihiWazee wa zamani wanashindwa kuelewa hiki ni kizazi cha dot.com😂😂😂
Ni kweli sikupingi kabisa, ndoa sio ya kukurupukia lakini ni vizuri uende na wakati,usije itaka harusi kwa pupaa
usije itaka harusi ukarud na talaka
usikimbilie mume ukaukondesha moyo
usikimbilie mume ukaukondesha moyo
x 2
uwe na subira
usiwe na pupa we
mola amekuumba na sifa kede kede
ukimwomba yeye atakusikia
jiamn mama usiwe na mapepe
alena mapepe
mapepe
mapepe
mapepe
yanini angali mume majaliwa
kwanin ujichoreshe na mali yako yaliwa
utabeba vibov upewe maradhi kukikimbilia mapenzi
uje upate tabu uvar mavazi uyachukie mapenzi
anayejua ni mola pekee yeye
na kila goti na dua anjibu yeye
usije itaka harusi kwa pupaa
usije itaka harusi ukarud na talaka
usikimbilie mume ukaukondesha moyo
usikimbilie mume ukaukondesha moyo
x 2
Hahahahaha huwa wanaolewaga mwisho wa siku na bwana wa bwana Yesu KristoHatutaki uadhirike mwanetu tunakupenda sana ujue
Ina maana saiv una 21 😂😁😁Ndoa naitaka ila sio haraka hivyo! Kidogo nifikishe 25
VzrNdoa naitaka ila sio haraka hivyo! Kidogo nifikishe 25
Ndo zao hizo wakidoda wanajiozesha kwa yesu na wanachakazwa vibaya mno na hao manabiii, eeeeei yeleuwiiiHahahahaha inawezekana, isije mwisho wa siku ukajifanya umeolewa na Bwana Yesu
Hahahahaha U23Ina maana saiv una 21 😂😁😁