Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaNdo zao hizo wakidoda wanajiozesha kwa yesu na wanachakazwa vibaya mno na hao manabiii, eeeeei yeleuwiii
Hahhahaha wapare bwana🤣🤣Dogo tena nyie wachaga mna kasumba ya kuzalisha sana, sijui nani kawaloga..ukijumlisha na hii slogan yenu ndio shida kabisa🤣
Kama yule nabii wa niffer aisee Hawa gen z ni balaaNdo zao hizo wakidoda wanajiozesha kwa yesu na wanachakazwa vibaya mno na hao manabiii, eeeeei yeleuwiii
Asifikie huko ni kubaya sana, tusidanganyane ndoa zina maudhi ila zina heshima yake hasa kwa mwanamke ndo jamii imeshaamua hivyoHahahahaha huwa wanaolewaga mwisho wa siku na bwana wa bwana Yesu Kristo
Ni kweli kabisa RafikiAsifikie huko ni kubaya sana, tusidanganyane ndoa zina maudhi ila zina heshima yake hasa kwa mwanamke ndo jamii imeshaamua hivyo
Ngoja nikae kimya 😂😂😁🤣Hapana!
Sasa km huyo cuzo kila atakaeingia na gia ya kuoa tunda atapewa jeuri ya kumnyima inatoka wapi?Kama yule nabii wa niffer aisee Hawa gen z ni balaa
Gen z wahuni sana aisee 😂😁Sasa km huyo cuzo kila atakaeingia na gia ya kuoa tunda atapewa jeuri ya kumnyima inatoka wapi?
Uwongo kipindi nipo jf 2011 wew una miaka 7 😂😁Nina 37
UnapoolewaHabari!
Nilipomaliza chuo nilipatwa na mkasa. Ile nimemaliza tu mitihani nikamtaarifu mama, tukaongea tu vizuri kwa muda mfupi chumbani kwake, sasa wakati natoka nje akaniuliza swali 'kwahiyo ushapata mtu wa kukuoa?' moyo ulishtuka halafu chap nikaendelea na safari hapo nikajifanya sijamsikia.
Ikawa wimbo anaoupenda 'ushapata wa kukuoa? Nikawa namwambia sipo tayari kwa sasa nikimjibu hivyo anaanza kutoa risala 'unajua inabidi uolewe mimi najisikia vibaya kukuona tu hapa nyumbani'
Siku moja nikamwambia mimi sijapata hata wa kunioa, akasema 'uzuri wote huo hakuna aliyesema anataka kukuoa' ilibidi tu nicheke mimi nilikuwa nishasoma akili yake kwamba uoga wa maisha unamsumbua.
Ishapita miaka 3 tokea kisa hiki kitokea, juzi nikasema acha niwaulize wenzangu kama wanakutana na maswahibu kama yangu sababu huu wimbo mama yangu bado anauimba.
Rafiki yangu FLORA
Yeye aliniambia alivyomaliza Mitihani alichelewa kurudi nyumbani kwa miezi kadhaa, sasa kuna siku akaumwa akalazwa mama yake alivyoenda hospital akamkuta Flora yupo na boyfriend wake ila huyo bf akawapisha waongee.
Mama yake akamuuliza 'huyo kijana ni nani' Flora akamjibu ni rafiki yake.
Mama yake akamwambia bills ni kiasi gani ili alipie! Flora akamwambia 'rafiki yangu ameshalipia' mama yake akaguna.
Sasa Flora alivyorudi kwao, mama yake akaanza kuimba nyimbo kila mara 'Yule rafiki yako yuko wapi akuoe kuliko kushinda ndani kila siku' Flora akaishia tu kucheka.
Rafiki yangu REBECCA
Yeye alikuwa anabanwa sana, ni wale watoto geti kali. Alivyomaliza chuo kuna siku akamuomba mama yake ruhusa ya kwenda kumsalimia rafiki yake. Mama yake hakumuuliza maswali mengi kama alivyokua anafanya hapo awali.
Jioni mapema Rebecca aliporudi mama yake akamwambia 'Mbona umerudi mapema' akamjibu nilienda kumuona tu mara moja
Mama yake akamwambia 'Ebu tembeatembea wachumba wakuone sio kujifungia tu ndani'
Ila ameniambia huo wimbo mama yake aliuacha baada ya yeye kupata kazi.
Rafiki yangu ASHA
Huyu ndiye amenichekesha sana, anasema tulivyomaliza chuo baba yake akawa anamwambia 'fanya uolewe sitaki kukuona nyumbani kwangu'
Kuna siku akaenda kazini kwa baba yake akamkuta yupo na wanaume wengine akawasalimia.
Kijana mmoja akamwambia mzee wake kwamba hakujua kama ana binti mkubwa vile! Mzee wake akajibu 'Huyu ni binti yangu kamaliza chuo mwaka huu na bado hajaolewa' wote wakaishia kucheka.
Haikupita miezi mingi baba yake akamletea mchumba, ubani ukachomwa sasa hivi yupo kwenye ndoa.
Nilichokiona wazazi wengi ambao hawajajipata kazi wanayotupa watoto wa kike ni kuolewa tena kama mtoto hajapata kazi ya kufanya.
Ila ukiwa na kazi nzuri unapata pesa, hii risala ya kuolewa hawatoi hata ukifikisha miaka 40.
Sasa sijui wa kulaumiwa ni CCM, wazazi wetu au sisi watoto.
Natamani ungewaona macuzo walivyokuwa wa moto wakaponda sana kuolewa nk na sasa walivyo poa ndo wanaikaribia 30 ila wamezeeka ghafla miaka hii 2 sababu ya mawazo ya kukosa waume na ni pisi za maana tuUna hoja kapeace
Nimesikia ushauri wako! Kesho naolewa😂Natamani ungewaona macuzo walivyokuwa wa moto wakaponda sana kuolewa nk na sasa walivyo poa ndo wanaikaribia 30 ila wamezeeka ghafla miaka hii 2 sababu ya mawazo ya kukosa waume na ni pisi za maana tu
Una hoja lakini tutafute hela kwanzaUnapoolewa
1. Unakuwa na mji wako (unaanzisha mji wako)
2. Unampunguzia au gharama za kukulea. Unaona raha kukaa hapo nyumbani na mama yako?
3. Wajukuu wanakuwa na baba anayeeleweka
4. Ni ufahari na heshima kwa wazazi /mzazi.
5. Mwanamke anakuwa amepunguziwa majukumu ya kujihudumia.
Je, wewe unapenda binti yako uishi naye bila kuolewa?
Kumbe mfano unao karibu, kwahiyo mama hataki hayo yakupate nasisitiza usijichanganye kuzaa unaadhirika mara kumi kuliko na waja tunavyojua kusengenya 😅😅😅Kuna ndugu yangu alimkataa mkaka aliyeleta barua kumuoa kisa ni body guard sasa hivi ana mtoto ni single maza anatafuta mume😂
Na lukasi😅😅😅Nimesikia ushauri wako! Kesho naolewa😂