Wazazi, mnajua kama vijana na binti zenu wameoa na kuolewa huko vyuoni?

Wazazi, mnajua kama vijana na binti zenu wameoa na kuolewa huko vyuoni?

Mtu na nusu

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2020
Posts
680
Reaction score
1,306
Leo nimefanikiwa kupiga story na mfanyabiashara wa duka la madawa lililopo karibu na chuo kimoja kikubwa tu hapa nchini.

Katika stroy zake nimegundua dawa inayonunuliwa kwa wingi hapo dukani Ni P2, na wateja wake ni wanachuo.

Story yake imenirudisha nyuma kidogo wakati nikiwa chuo, kulikuwa na ndoa nyingi zisizo rasmi, wanafunzi walipeana majukumu ya wanandoa kama hawana akili.

Ndoa nyingi zilikua zikidumu kwa muda mfupi tu kwani wanandoa uchwara hao walikuwa wakibadili wapenzi kila baada ya semester.

Kufupisha story wazazi anzeni kufuatilia mienendo ya mabinti na vijana wenu wanapokuwa vyuoni.

Vijana wengi wamepata maambukizi ya UKIMWI na mabinti kupewa ujauzito Bila wazazi kufahamu.

Kuna wengine hulazimika kutokurudi nyumbani wamalizapo chuo kwa kuogopa adhabu Kali kutoka kwa wazazi pindi Siri yao ikigundurika.
 
Nina rafiki yangu St Josephu University, mbezi mwisho Naona kaoa tu, ila kwa ninavyo waangalia kwa jicho la mbali wakiondoka hapo chuo sidhani kama kuna ndoa hapo ni kunyanduana tu , aisee ukweli wanachuo wana nyanduana vikali [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiwa mzazi wa mtoto wa kike fanya yafuatayo kwa mwanao:

1. Akifikisha umri wa miaka 3 mfundishe masuala ya ubakaji.

2. Akifikisha umri wa miaka 9 mfundishe masuala ya kukua,ngono pamoja na mimba.

3. Akifikisha umri wa miaka 15 mfundishe masuala ya mapenzi na kwamba umri wake hauruhusu hayo mambo.

4. Akifikisha umri wa miaka 17 mfundishe masuala ya mahusiano na jinsi ya kukabidhiana nayo.

5. Akifikisha miaka 20 mfundishe masuala ya ndoa.

6. Akienda chuo kikuu muonye juu ya ngono na mfundishe juu ya umuhimu wa nidhamu ya ngono katika maisha.

Baadae nitarudi kwa ajili ya watoto wa kiume.
 
Mtoto wa Kike akienda Chuo ni bora umnunulie Condom box kumi,ili asiambukizwe std na ukimwi,na nikumsihi asiguse pombe awapo Chuoni.

Akigusa Pombe tu,ataiachia papuchi iliwe bila condom, na hatima yake ni mimba au ukimwi au vyote kwa pamoja.
 
Nina rafiki yangu St Josephu University, mbezi mwisho Naona kaoa tu, ila kwa ninavyo waangalia kwa jicho la mbali wakiondoka hapo chuo sidhani kama kuna ndoa hapo ni kunyanduana tu , aisee ukweli wanachuo wana nyanduana vikali [emoji23][emoji23][emoji23]
Fikiri upande wa pili, hivi age mate wao walioko mtaani hawafanyi❕❕❔❔❓❓, wewe je
 
Ukiwa mzazi wa mtoto wa kike fanya yafuatayo kwa mwanao:

1.Akifikisha umri wa miaka 3 mfundishe masuala ya ubakaji.

2.Akifikisha umri wa miaka 9 mfundishe masuala ya kukua pamoja na ngono.

3.Akifikisha umri wa miaka 15 mfundishe masuala ya mapenzi na kwamba umri wake hauruhusu hayo mambo.

4.Akifikisha umri wa miaka 17 mfundishe masuala ya mahusiano na jinsi ya kukabidhiana nayo.

5.Akifikisha miaka 20 mfundishe masuala ya ndoa.

6.Akienda chuo kikuu muonye juu ya ngono na mfundishe juu ya umuhimu wa nidhamu ya ngono.

Baadae nitarudi kwa ajili ya watoto wa kiume.
Kwasisi me tafadhari usirudi tunajimudu..😎
 
Ukiwa mzazi wa mtoto wa kike fanya yafuatayo kwa mwanao:

1.Akifikisha umri wa miaka 3 mfundishe masuala ya ubakaji.

2.Akifikisha umri wa miaka 9 mfundishe masuala ya kukua pamoja na ngono.

3.Akifikisha umri wa miaka 15 mfundishe masuala ya mapenzi na kwamba umri wake hauruhusu hayo mambo.

4.Akifikisha umri wa miaka 17 mfundishe masuala ya mahusiano na jinsi ya kukabidhiana nayo.

5.Akifikisha miaka 20 mfundishe masuala ya ndoa.

6.Akienda chuo kikuu muonye juu ya ngono na mfundishe juu ya umuhimu wa nidhamu ya ngono.

Baadae nitarudi kwa ajili ya watoto wa kiume.
kiumeni wafundishwe kuhusu chura tu itatosha sana kaka
 
Back
Top Bottom