Wazazi, mnajua kama vijana na binti zenu wameoa na kuolewa huko vyuoni?

Wazazi, mnajua kama vijana na binti zenu wameoa na kuolewa huko vyuoni?

Vyuo unavyoviongelea wewe ni vya VETA ama?

Kama ni vyuo vikuu, wewe ni mzazi mwenzetu, tugaie mbinu za kufanya tusaidiane namna ya ku detect vitendo na mienendo yao hao watu wazima wakiwa huko "mambali" vyuoni ili sex lust zao tuziminye wasiweze na washindwe na kulegea.
 
Knowledge & marriage certificate anazitafuta zote kwa pamoja
 
Ukiwa mzazi wa mtoto wa kike fanya yafuatayo kwa mwanao:

1. Akifikisha umri wa miaka 3 mfundishe masuala ya ubakaji.

2. Akifikisha umri wa miaka 9 mfundishe masuala ya kukua pamoja na ngono.

3. Akifikisha umri wa miaka 15 mfundishe masuala ya mapenzi na kwamba umri wake hauruhusu hayo mambo.

4. Akifikisha umri wa miaka 17 mfundishe masuala ya mahusiano na jinsi ya kukabidhiana nayo.

5. Akifikisha miaka 20 mfundishe masuala ya ndoa.

6. Akienda chuo kikuu muonye juu ya ngono na mfundishe juu ya umuhimu wa nidhamu ya ngono katika maisha.

Baadae nitarudi kwa ajili ya watoto wa kiume.
Umekua jamanii kijana wangu,wa-oooo😘
 
Miaka ya nyuma wanachuo ndo walikuwa ni watu wanaothaminika zaidi mitaani na hata vijijini... Siku hizi wanachuo ndo wamekuwa watu wa ovyo kabisa kuliko hata mateja wapiga debe kwenye daladala.
Siku hizi hawatamaniki
Wenye nyumba wanaogopa kuwapangishia wakihofia usalama na maadili ya watoto wao.
 
Mie nikiwa mwaka wa kwanza tu nilioa na tukapanga msewe na kupata mtoto mmoja, tuliachana baada ya yeye kuajiriwa km 800 toka nilipo na hakuwa tayari kuwa mke mkubwa. Hadi kesho akienda rikz6 anaandika mme jina langu
 
Kuna nyumba yangu moja madogo wamepanga wawili kijana na binti..niligoma goma baadaye nikaona hainihusu cha msingi wanakipa kodi yangu basi mengine watajua wenyewe.

Kwa hiyo mnao oa sasa hivi jueni kwanba hiyo ndoa si ya kwanza kwa binti ama kwa kijana.
 
Back
Top Bottom