Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
Hahaha ayakuhusu kama na ww unatamani rudi chuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo ni kama ile big brother huwezi kuwaweka me /ke sehem moja halaf wanakula tu na kulala bure, sasa energy wanayoipata baada ya kula itaenda wapi?Leo nimefanikiwa kupiga story na mfanyabiashara wa duka la madawa lililopo karibu na chuo kimoja kikubwa tu hapa nchini.
Katika stroy zake nimegundua dawa inayonunuliwa kwa wingi hapo dukani Ni P2, na wateja wake ni wanachuo.
Story yake imenirudisha nyuma kidogo wakati nikiwa chuo, kulikuwa na ndoa nyingi zisizo rasmi, wanafunzi walipeana majukumu ya wanandoa kama hawana akili.
Ndoa nyingi zilikua zikidumu kwa muda mfupi tu kwani wanandoa uchwara hao walikuwa wakibadili wapenzi kila baada ya semester.
Kufupisha story wazazi anzeni kufuatilia mienendo ya mabinti na vijana wenu wanapokuwa vyuoni.
Vijana wengi wamepata maambukizi ya UKIMWI na mabinti kupewa ujauzito Bila wazazi kufahamu.
Kuna wengine hulazimika kutokurudi nyumbani wamalizapo chuo kwa kuogopa adhabu Kali kutoka kwa wazazi pindi Siri yao ikigundurika.
Kama umesoma chuo na hujanyandua wewe wa kuchunguzwa.Chuo niliwapa mabinti sita mimba na wote walizitoa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hao wa form six wameshachakazwa sana na Walimu wao huko. Sekondari Walimu wanajipigia tu kuondoa stress za mishahara midogo.Wa kwangu alivyomaliza form six tu nikamdaka..akaenda chuo mke wa mtu..najua waliniibia lakini si kwa style hii ya mke na mke miaka 3 chumba kimoko aisee !!
Yes namna ya kujenga hoja inakuwa ngumu, ila wanatafunwa sana hawa mabinti.
Hapo manaake ni mbwa kala mbwa yani😂 atakae muwahi mwenzie lazma amuache yani!Mbona huku mitaani ni jambo la kawaida? Kwa sababu ukifuatilia hapo utaona kama binti akibahatika kupata ajira kijana lazima aachwe na kama binti akipata ujauzito na hana kazi lazima aachwe!
Hahahah mwaka wa 2 kama una kademu kako mlikoanza mapenzi toka form 5 lazma kakupige chini😅 sijui kuna upepo gani mbaya ila lazma akutose yani wanabadilikaga balaaSISI walianza poa tu wengi ila mwka wa pili kwenda wa tatu walipata vitumbo sio mchezo mpaka wale walikuwa watu wa dini
Hahahahahah chuo ni mahali pekee pa kutafunana bila kodi😅 ya mbunye! Wote mnakuwa na leseni ya kupigana miti bila kipingamizi na kumalizana genye kwa kwenda mberee!Nina rafiki yangu St Josephu University, mbezi mwisho Naona kaoa tu, ila kwa ninavyo waangalia kwa jicho la mbali wakiondoka hapo chuo sidhani kama kuna ndoa hapo ni kunyanduana tu , aisee ukweli wanachuo wana nyanduana vikali [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa mzazi wa mtoto wa kike fanya yafuatayo kwa mwanao:
1. Akifikisha umri wa miaka 3 mfundishe masuala ya ubakaji.
2. Akifikisha umri wa miaka 9 mfundishe masuala ya kukua pamoja na ngono.
3. Akifikisha umri wa miaka 15 mfundishe masuala ya mapenzi na kwamba umri wake hauruhusu hayo mambo.
4. Akifikisha umri wa miaka 17 mfundishe masuala ya mahusiano na jinsi ya kukabidhiana nayo.
5. Akifikisha miaka 20 mfundishe masuala ya ndoa.
6. Akienda chuo kikuu muonye juu ya ngono na mfundishe juu ya umuhimu wa nidhamu ya ngono katika maisha.
Baadae nitarudi kwa ajili ya watoto wa kiume.
Vilipigwq mimba za kutosha zikaanza kucarry😅😅😅Hahahah mwaka wa 2 kama una kademu kako mlikoanza mapenzi toka form 5 lazma kakupige chini😅 sijui kuna upepo gani mbaya ila lazma akutose yani wanabadilikaga balaa
Hahahahah nomaVilipigwq mimba za kutosha zikaanza kucarry😅😅😅
Ndio raha ya chuo bwana ..watu wagegedane vizuri na masomo yanaendaNina rafiki yangu St Josephu University, mbezi mwisho Naona kaoa tu, ila kwa ninavyo waangalia kwa jicho la mbali wakiondoka hapo chuo sidhani kama kuna ndoa hapo ni kunyanduana tu , aisee ukweli wanachuo wana nyanduana vikali [emoji23][emoji23][emoji23]