Wazazi, mnajua kama vijana na binti zenu wameoa na kuolewa huko vyuoni?

Wazazi, mnajua kama vijana na binti zenu wameoa na kuolewa huko vyuoni?

Hahahahahah chuo ni mahali pekee pa kutafunana bila kodi[emoji28] ya mbunye! Wote mnakuwa na leseni ya kupigana miti bila kipingamizi na kumalizana genye kwa kwenda mberee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninaposikia story kama hizi napata pressure sana, binti yangu anapenda madrassa hatari. Yaani ukitaka ugombane nae basi siku mwambie leo usiende madrasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ora wajuba mbona Kama tunakuja tishana kiboya arifu maswala gani izi za kuja kurushiana ma presha bp na sheli
Mi enyewe nnao binti yangu Apo fasi ya udsm nilizaaga na mtasha asee kwaiyo ni Kama shombe flani ivii kwaiyo mnataka niambia Kuna mjuba anaishi nae?
Hana mkopo nagharamia makila kitu kwaiyo mnataka niambia nikimtumiaga mapoketi money ya kununulia mazaga pale geto kwake Kuna mjuba anakuja pale kula nae?

Asee ngoja nifanyage marisechi nikija gunduaga izi makitu natimba Apo dasalade kwa spidi ya ngiri mkia juu nakuja ku kid kan kill
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utajua hujui.
 
Ora wajuba mbona Kama tunakuja tishana kiboya arifu maswala gani izi za kuja kurushiana ma presha bp na sheli
Mi enyewe nnao binti yangu Apo fasi ya udsm nilizaaga na mtasha asee kwaiyo ni Kama shombe flani ivii kwaiyo mnataka niambia Kuna mjuba anaishi nae?
Hana mkopo nagharamia makila kitu kwaiyo mnataka niambia nikimtumiaga mapoketi money ya kununulia mazaga pale geto kwake Kuna mjuba anakuja pale kula nae?

Asee ngoja nifanyage marisechi nikija gunduaga izi makitu natimba Apo dasalade kwa spidi ya ngiri mkia juu nakuja ku kid kan kill

Kunywa maji kwanza mkuu
 
Hahahah mwaka wa 2 kama una kademu kako mlikoanza mapenzi toka form 5 lazma kakupige chini[emoji28] sijui kuna upepo gani mbaya ila lazma akutose yani wanabadilikaga balaa
[emoji3] huo mwaka niliachwa Mara 5
 
Leo nimefanikiwa kupiga story na mfanyabiashara wa duka la madawa lililopo karibu na chuo kimoja kikubwa tu hapa nchini.

Katika stroy zake nimegundua dawa inayonunuliwa kwa wingi hapo dukani Ni P2, na wateja wake ni wanachuo.

Story yake imenirudisha nyuma kidogo wakati nikiwa chuo, kulikuwa na ndoa nyingi zisizo rasmi, wanafunzi walipeana majukumu ya wanandoa kama hawana akili.

Ndoa nyingi zilikua zikidumu kwa muda mfupi tu kwani wanandoa uchwara hao walikuwa wakibadili wapenzi kila baada ya semester.

Kufupisha story wazazi anzeni kufuatilia mienendo ya mabinti na vijana wenu wanapokuwa vyuoni.

Vijana wengi wamepata maambukizi ya UKIMWI na mabinti kupewa ujauzito Bila wazazi kufahamu.

Kuna wengine hulazimika kutokurudi nyumbani wamalizapo chuo kwa kuogopa adhabu Kali kutoka kwa wazazi pindi Siri yao ikigundurika.
Ni kweli ,watoto wa kike Kwa asilimia kubwa wanaharibika vyuoni Kwa sababu ya mifumo mibovu na Maisha kuwa magumu,lakini Kwao hyo ni changamoto (Transition period)
 
hii madaa nimeona nikashtukaa maana mm nipo na binti wa watu! but akimaliza niende kujihalalisha sasa maanaa! sionpoaa
DVC mzima unakula mbunye ya mkopo?😅😅😅
 
Sema nini mjuba muosha huoshwa hizi mbanga mi enyewe nilifanyaga asee kipindi nikogo Apo udsm nilikaaga na kamamiloo kangu anzia mwaka wa pili adi namaliza wa nne Apo fasi ya changanyikeni

Happy popote ulipo mamiloo najua nilizingua Mimi nalipiziwa huku
Hahahahah fasi dwasi ya changanyikeni
 
Daaaah, upuuzi tu sijui kwa vile sikuvahatika kufika vyuo vikuu, ila nasikitika tu nikiwatazama madogo
 
Unakuja unamparamia binti alishaolewa na kutoa mamimba kibao huko chuoni unashangaa mambo yenu hayaendi kwenye familia mikosi mtindo mmoja kumbe kuna damu zisizo na hatia na maagano huko zinawalilia...

Wengi wenu mmeoa wake za watu na waliozalishwa sana huko vyuoni japo hawana watoto na ukiwagusa "sijawahi kuolewa wala kuwa na mtoto" nyiiiingi. Kumbe ungejua ungekimbia asubuhi na mapema!

Na hawa wakikutana na waume zao wa vyuoni hasa kama waliachana kwa sababu ya umbali kupasha kiporo ni lazima sawa tu na singo mazas na baby daddies wao....

Ila waoeni tu msiogope....kila mtu apambane na hali yake![emoji706][emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom