cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hao wa form six wameshachakazwa sana na Walimu wao huko. Sekondari Walimu wanajipigia tu kuondoa stress za mishahara midogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hao wa form six wameshachakazwa sana na Walimu wao huko. Sekondari Walimu wanajipigia tu kuondoa stress za mishahara midogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahah chuo ni mahali pekee pa kutafunana bila kodi[emoji28] ya mbunye! Wote mnakuwa na leseni ya kupigana miti bila kipingamizi na kumalizana genye kwa kwenda mberee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ninaposikia story kama hizi napata pressure sana, binti yangu anapenda madrassa hatari. Yaani ukitaka ugombane nae basi siku mwambie leo usiende madrasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utajua hujui.Ora wajuba mbona Kama tunakuja tishana kiboya arifu maswala gani izi za kuja kurushiana ma presha bp na sheli
Mi enyewe nnao binti yangu Apo fasi ya udsm nilizaaga na mtasha asee kwaiyo ni Kama shombe flani ivii kwaiyo mnataka niambia Kuna mjuba anaishi nae?
Hana mkopo nagharamia makila kitu kwaiyo mnataka niambia nikimtumiaga mapoketi money ya kununulia mazaga pale geto kwake Kuna mjuba anakuja pale kula nae?
Asee ngoja nifanyage marisechi nikija gunduaga izi makitu natimba Apo dasalade kwa spidi ya ngiri mkia juu nakuja ku kid kan kill
Sio woteMkuu hao wa form six wameshachakazwa sana na Walimu wao huko. Sekondari Walimu wanajipigia tu kuondoa stress za mishahara midogo.
Ora wajuba mbona Kama tunakuja tishana kiboya arifu maswala gani izi za kuja kurushiana ma presha bp na sheli
Mi enyewe nnao binti yangu Apo fasi ya udsm nilizaaga na mtasha asee kwaiyo ni Kama shombe flani ivii kwaiyo mnataka niambia Kuna mjuba anaishi nae?
Hana mkopo nagharamia makila kitu kwaiyo mnataka niambia nikimtumiaga mapoketi money ya kununulia mazaga pale geto kwake Kuna mjuba anakuja pale kula nae?
Asee ngoja nifanyage marisechi nikija gunduaga izi makitu natimba Apo dasalade kwa spidi ya ngiri mkia juu nakuja ku kid kan kill
[emoji3] huo mwaka niliachwa Mara 5Hahahah mwaka wa 2 kama una kademu kako mlikoanza mapenzi toka form 5 lazma kakupige chini[emoji28] sijui kuna upepo gani mbaya ila lazma akutose yani wanabadilikaga balaa
Unahisi yanaeza shushia hii bp presha na sheli mwenye huu Uzi alioniamshia?Kunywa maji kwanza mkuu
Trust me hauko peke ako mkuu.hii madaa nimeona nikashtukaa maana mm nipo na binti wa watu! but akimaliza niende kujihalalisha sasa maanaa! sionpoaa
Ulitia fora mzee😅[emoji3] huo mwaka niliachwa Mara 5
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh. Cha ajabu nn saiv had vijana wa kiume wana oana wenyewe kwa wenyewe.Mjuba usicheke arifu huu ni msiba jomba
Mbna wee mwenyew unacheka sana, [emoji23][emoji23][emoji23]We mtoto unacheka sana kipi kikufurahishacho?[emoji28]
Ni kweli ,watoto wa kike Kwa asilimia kubwa wanaharibika vyuoni Kwa sababu ya mifumo mibovu na Maisha kuwa magumu,lakini Kwao hyo ni changamoto (Transition period)Leo nimefanikiwa kupiga story na mfanyabiashara wa duka la madawa lililopo karibu na chuo kimoja kikubwa tu hapa nchini.
Katika stroy zake nimegundua dawa inayonunuliwa kwa wingi hapo dukani Ni P2, na wateja wake ni wanachuo.
Story yake imenirudisha nyuma kidogo wakati nikiwa chuo, kulikuwa na ndoa nyingi zisizo rasmi, wanafunzi walipeana majukumu ya wanandoa kama hawana akili.
Ndoa nyingi zilikua zikidumu kwa muda mfupi tu kwani wanandoa uchwara hao walikuwa wakibadili wapenzi kila baada ya semester.
Kufupisha story wazazi anzeni kufuatilia mienendo ya mabinti na vijana wenu wanapokuwa vyuoni.
Vijana wengi wamepata maambukizi ya UKIMWI na mabinti kupewa ujauzito Bila wazazi kufahamu.
Kuna wengine hulazimika kutokurudi nyumbani wamalizapo chuo kwa kuogopa adhabu Kali kutoka kwa wazazi pindi Siri yao ikigundurika.
DVC mzima unakula mbunye ya mkopo?😅😅😅hii madaa nimeona nikashtukaa maana mm nipo na binti wa watu! but akimaliza niende kujihalalisha sasa maanaa! sionpoaa
Hahahahah fasi dwasi ya changanyikeniSema nini mjuba muosha huoshwa hizi mbanga mi enyewe nilifanyaga asee kipindi nikogo Apo udsm nilikaaga na kamamiloo kangu anzia mwaka wa pili adi namaliza wa nne Apo fasi ya changanyikeni
Happy popote ulipo mamiloo najua nilizingua Mimi nalipiziwa huku
Mjuba ilikuaga ni kwere kwerekwecheHahahahah fasi dwasi ya changanyikeni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sielewi