Hahaha na kwenda kudeki nyumba za waalimNa bado na likizo wanalazimishwa kuendelea kusoma au wanapewa mzigo wa holiday homework.
Ila nikitafakari ni mateso yamebadilishwa tu, sísi tulilimishwa hadi mashamba ya walimu enzi zetu.
Hili suala limekosa utatuzi. Elimu Biashara ndo shida ya yote Haya..Wazazi, mnashirikiana na shule kuwatesa watoto.
Vitoto vyenyewe bado vidogo, miaka 11-13, vinaamshwa saa 10 au 11 alfajiri kuwahi shule. Wanawahi nini exactly?
Na bado watakaa shule mpaka saa 12 kisa remedials, kurudi nyumbani saa 1 jioni.. mtoto anafika hoi, hajiwezi, hajacheza, hajafanya hobby zake. Kateseka tu.
Yote kwa faida gani?
- Mitihani ya darasa la saba haina umuhimu tena kama ilivyokuwa.
Wenye shule wanawatumia watoto wetu ku-market shule zao ili waonekane wana average ya A, ilhali hata kwa C mtoto anaenda zake secondary school. Au mnataka wakasome St. Francis na Marian? Shule zipo tu. Waliosoma huko si tumewaona chuo na mitaani tunao.
- Masomo ya ziada si kwa kila mwanafunzi kama ambavyo hizi shule zimewaaminisha. Mwanao kipanga, remedials za nini?
Acha wanaostruggle ndo wapambane.
Obviously, wanaunda tu room ya kupiga hela ya michango ya hapa na pale.
Mwisho, tuache watoto wakue kwa amani. Hizo efforts tuzitie form 4 na kuendelea, watakuwa wamekuwa wakubwa na matokeo ya form 4 yana impact mpaka kwenye admission ya chuo, so ni muhimu. Siyo darasa la saba.
Kama unaweza fanya hivi:Shule zinavunja sheria nyingi sana, zinawafanya watoto watumwa wa elimu na sisi wazazi tuna comply kila wanachosema.
Mtoto anaendaje shule saa 11 alfajiri, unamplelekaje mtoto wa la nne boarding school? Mimi sitakubali hata kidogo.
Mkuu umetiririka points za msingi tupu.Wazazi wanakimbizanq na shilingi..halafu imekuwa kama fasheni watoto kusoma English medium, imekuwa kama vile wazazi wanakwepa majukumu yao ya parenting..yani wanajitahidi wawe na mda mfupi na watoto wao..mda wote wawe shule, yani hata likizo hawataki wazazi wanawafukuzia watoto waende tuition, tena za kuchelewa kurudi, yani mzazi kamwachia mwalimu ajipigiage hela, na walimu wanafurahi maana wako busy na kutoa maswali na kusahihisha, wanashinda shuleni...elimu gani, ipi, inafaa nini? Tumesoma zamani no tuition no what ila hatukuwa worse!! Sikatai ulimwengu uko mbio sana ila malezi mhimu pia, tusiwaachie walimu pekee..kama ni likizo it's time for parents or guardians to have their time for their children, kuwapa yale ya nje ya mtaala wa shule,...mda wa kusoma shuleni uheshimiwe na watoto warudi nyumbani in good time, watoto wadogo chini ya miaka 10 parenting iwe closer na wazazi, wasome shule za karibu ili wasidamke sana japo ni kawaida kuanzia saa 12 lakini sio saa 10 alfajili, ni kuwatesa..pia watoto kuanza shule hata maneno hayajajiumba vema mdomoni, akili bado tunataka kuwahisha shule kwa visababu vingii eti awahi kumaliza masomo..unadhani waliosema aanze la kwanza miaka 6 au 7 walikuwa hawana akili, au kwakuwa tunasema watoto wasasa wanakua haraka? Hapana!!
Hata tukitamani watoto wamalize masomo wakiwa na umri mdogo wapate ajira mapema, tukumbuke huko kwenye ajira kunataka upevu wa akili ya nje ya shule..sio GPA kubwa tu..kuna kijana aliajiliwa sehem akiwa na umri mdogo..yes!! pia na ufaulu mkubwa ..Yes, ila kazini utoto mwingi, ujana mwingi..mpaka maboss wake wakaona hafai..there is a time maturity ni mhimu kazini.Mkuu umetiririka points za msingi tupu.
Hili ndiyo jibuwanaunda tu room ya kupiga hela ya michango ya hapa na pale.
jitahidi kumpeleka mwanao shule ya maana..... elewa point (shule ya maana) usije ukachanganya shule ya bei ghali na shule ya maana.....Wazazi, mnashirikiana na shule kuwatesa watoto.
Vitoto vyenyewe bado vidogo, miaka 11-13, vinaamshwa saa 10 au 11 alfajiri kuwahi shule. Wanawahi nini exactly?
Na bado watakaa shule mpaka saa 12 kisa remedials, kurudi nyumbani saa 1 jioni.. mtoto anafika hoi, hajiwezi, hajacheza, hajafanya hobby zake. Kateseka tu.
Yote kwa faida gani?
- Mitihani ya darasa la saba haina umuhimu tena kama ilivyokuwa.
Wenye shule wanawatumia watoto wetu ku-market shule zao ili waonekane wana average ya A, ilhali hata kwa C mtoto anaenda zake secondary school. Au mnataka wakasome St. Francis na Marian? Shule zipo tu. Waliosoma huko si tumewaona chuo na mitaani tunao.
- Masomo ya ziada si kwa kila mwanafunzi kama ambavyo hizi shule zimewaaminisha. Mwanao kipanga, remedials za nini?
Acha wanaostruggle ndo wapambane.
Obviously, wanaunda tu room ya kupiga hela ya michango ya hapa na pale.
Mwisho, tuache watoto wakue kwa amani. Hizo efforts tuzitie form 4 na kuendelea, watakuwa wamekuwa wakubwa na matokeo ya form 4 yana impact mpaka kwenye admission ya chuo, so ni muhimu. Siyo darasa la saba.
Huyo ni mtoto au Tahfif?Mtoto ana madaftari 20 vitabu 30
mtoto hyo,ana madaftari ya masomo ya kawaida,ana madaftari ya tuition,ana madaftari ya rimidio,Huyo ni mtoto au Tahfif?
Saa 11 ni Alfajiri sana.Aisee umemikumbusha, bint yangu ndiyo alikuwa wa kwanza kuchukuliwa, saa 11, nikaona hii haikubaliki.
Inaumiza sanaUmeandika point kubwa sana mkuu inafikia hatua mpaka jumapili watoto wanatakiwa waende shule nadhani hii ni kuwafaidisha walimu zaidi na pesa za mikakati na mitihani isiyo na faida .
Kaka nsaidia mawasaliano yako n pm nataka kuhamia uko nadhani ntajua meng kuptia mwenyejShule ya itumba sekondari iko wilaya ya Ileje,form two eti wanaenda asubuhi Hadi Saa mbili usiku. Hapo wazazi tutegemee mimba Kwa mabinti zetu. Binti anafika nyumban almost Saa tatu usiku. Nawaza San na huku kuna visa vingi Sana vya ubakaji.