Wazazi mngejua adha wanazopata watoto wenu katika daladala mngetamani kuwahamisha shule za karibu

Nilifika Eneo flani la Mkoa wa Pwani watoto wadogo wa Dalasa la Kwanza wanatembea kwa mguu Kilomita 15 kwa miguu kwenda Shuleni.
Na kurudi ni Kilomita 30+
Wazazi wajibikeni kwa Watoto wenu.
Huku ni kuwatesa watoto.
Kwa mazingira hayo, hao watoto kesho au kesho kutwa wakianza kuwa watoro wa shule je utawalaumu?

Au Kama ndo vibinti vya darasa la tano au sita vikianza kupewa lift na boda boda je vitakuwa salama?
 

👇👇👇👇

Na ndio sababu kubwa ya mimba za utotoni. Makondakta na bodaboda wana take advantage ya hili gap.
 
Hatar sana hii 👇👇👇

Watoto wengi wamekuwa Hadi ma matusi ya nguoni kutukana makondakta wakigoma kuwapakia wanawaporomoshea Hadi matusi nguoni wakitukana na konda anawatukana vinaanza kuwa na tabia mbovu Bado vidogo tu
 
Hapo dasilamu wazazi wengi nyumba za kupanga, wanaishi kwa kuhamahama kama wafugaji.... hii hupelekea kusogea mbali na shule za watoto wao bila kuwahamisha.
Hilo nalo neno chief
 
Mnyonge mnyongeni ila HAKI YAKE MPENI...
RIP E N LOWASSA 🙌
Kama wizara ya elimu ingekomaa na hizi shule za kata haya matatizo ya wanafunzi na daladala yasingekuwa makubwa kiasi hiki!
 
Mnyonge mnyongeni ila HAKI YAKE MPENI...
RIP E N LOWASSA 🙌
Kama wizara ya elimu ingekomaa na hizi shule za kata haya matatizo ya wanafunzi na daladala yasingekuwa makubwa kiasi hiki!
Nipo pamoja na wewe chief
 
Nilifika Eneo flani la Mkoa wa Pwani watoto wadogo wa Dalasa la Kwanza wanatembea kwa mguu Kilomita 15 kwa miguu kwenda Shuleni.
Na kurudi ni Kilomita 30+
Wazazi wajibikeni kwa Watoto wenu.
Huku ni kuwatesa watoto.
Kilometer 15 kwenda

Hapa umeweka chumvi kiukweli
 
Na siyo kwamba serikali haina uwezo wa kununua mabasi ya shule za msingi za kata au sekondari za serikali. Ni ubinafsi, kutokujali, kujipendelea kwao. Inawezekana na uwezo upo. Wao ni mandege, ma V8 na ujinga gani sijuwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…