Wazazi na ndugu wa mke wangu wananikosesha raha

Wazazi na ndugu wa mke wangu wananikosesha raha

La Quica

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2017
Posts
1,009
Reaction score
2,315
Wakuu mimi ni mkazi na mzaliwa wa Dar es Salaam maeneo ya Tegeta, tatizo langu kuu mpaka nimekuja kuomba ushauri ni mke wangu kawakusanya ndugu zake na wazazi wake toka kijijini huko Mpwapwa. Yani imekua kero mi mwenyewe ndio natafuta maisha lakini nyumbani tupo jumla watu tisa pamoja na wazazi wake, nyumba yenyewe nimepanga nyumba viwili na sebule.

Sina raha hata kujiachia na mke wangu siwezi, mwezi wa nne huu hata mzigo sijala maana asubuhi nimeenda kazini, nikirudi jioni watu wamejaa na usiku wanalala sebuleni wengine chumbani.

Nimevurugwa kijana mwenzenu pesa yote ninayopata ambayo tungenunua hata kiwanja inaishia kwenye chakula na wanakula mno. Mke wangu nimejaribu kumwambia awambie ndugu zake na wazazi warudi kijijini lakini hataki eti anatamani awe nao karibu ili akibahatika kupata mtoto wamsaidie kulea.

Ndugu zangu naomba ushauri nifanye nini, nikimbie nyumba au niwafukuze mimi mwenyewe.

Rafiki yangu mmoja alinishauri labda nimtongoze mama mkwe lengo achukie aondoke na mmewe lakini cha ajabu amekubali 😥😥😥😥

MNISHAURI SANA🙏🙏🙏🙏NASOMA COMMENTS ZOTE.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amekubali maana amekuona wee Kidume, kulisha familia ya watu 9 sio mchezo.


Anyway ,Jipigie Mama mkwe, na hakikisha Mkeo na Baba Mkwe, wamejua kua Umemla Mama mkwe.




Utakuja kunishukuru.!!!!


Nmekushauri hili, sababu umeshamtongoza na kakubali, so sehem ya pili, IWE ivo !!
Lengo halikuwa kupiga mkuu nilifikiri labda ingekuwa sababu ya yeye kuchukia na kuondoka lakini haikuwa hivyo.
 
Mkuu ni Bora uonekana mbaya.....Jumamosi Kaa zako sebleni wape taarifa kua jumapil usiku Kuna kikao....muda wa kikao waambie jamani mama mkwe na baba mkwe naomba mrudi kijijini...muda wenu wa kuishi kwangu umeisha.samahani kama ntakua nimewakawaza ....

Na wengine ambao uwataki waambie.....ukimaliza wape nauli ingia chumbani lala....ukiamka asubui muulize mke wako ndugu zako wanaondoka sa ngap nkirudi nkute majibu.....ukiwa serious!!!
 
Chai......
1. Kama hujapiga game kwa miezi 4 na unaweza usipewe game for unforeseen future.... huyo mtoto anayesubiriwa ili msaidiwe kulea atatoka wapi?

2. Kwa mazingira hayo ambayo umeshindwa tu kumpembua wife, hayo mazingira ya kutongoza na kum-do our mother-in-law yanatoka wapi?

Ila kingine story yako ingenoga tu bila specifically kuitaja Mpwapwa
 
Chai......
1. Kama hujapiga game kwa miezi 4 na unaweza usipewe game for unforeseen future.... huyo mtoto anayesubiriwa ili msaidiwe kulea atatoka wapi?

2. Kwa mazingira hayo ambayo umeshindwa tu kumpembua wife, hayo mazingira ya kutongoza na kum-do our mother-in-law yanatoka wapi?

Ila kingine story yako ingenoga tu bila specifically kuitaja Mpwapwa
Mkuu hujapenda bandiko kisa kwenu ni Mpwapwa. Halafu inawezekana huyu jamaa ni shemeji yako bana. Mwambie bi mkubwa na mzee waondoke kwa shemeji yako watavunja ndoa ya dada yako.
 
Nilikuamini na story yako ila hapo uliposema umemtongozwa mama mkwe mmh siamini huo uthubutu umeutoa wapi? Eti amekubali chai hii.

Anyways pole ila jitahidi kumwambia mkeo aongee nao tu warudi kama akipata huyo mtoto basi atawaita baadhi tu si wote. Nakumbuka bibi yangu alivokua hapendi kukaa kwa watoto wake anasema mji wangu nimeuacha na mashamba naondoka. Kumbe kuna wazazi waoona fresh tu kuishi kwa mtoto tena anayeanza maisha vyumba 2 bila sababu yoyote kama wanaumwa wamekuja kutibiwa labda mmh🤭
 
Back
Top Bottom