Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

Ni maandamano ya kupinga vijana wa ccm (chinjachinja) kushindwa hoja na kuteka watu na kuwaua.
Ndio,maandamano yaliyowavuta hata uvccm kupinga chinjachinja na malipo ya kumwaga damu yakupangwa na walioharibu uchumi,ukosefu wa ajira . SAMIA MUST GO, SEPTEMBER 23 TO REMEMBER.
 
usidharau, usikatae wazazi au walezi hata kama ni wazee sana au walemavu,

wazazi ni wazazi tu, wazazi ni neema na Baraka za Mungu, ukaidi na kiburi visije kukuponza acha dharau kwa wazazi, vitakutokea puani baada ya maandamano kama huyu tamaa za wachumba wa wenzie kilichomkuta🐒
Hata walio ua wenzao ni wazazi majumbani kwao. Usituchoshe. Sio kila mzazi n mwema kwa wengine.
 
Ndio,maandamano yaliyowavuta hata uvccm kupinga chinjachinja na malipo ya kumwaga damu yakupangwa na walioharibu uchumi,ukosefu wa ajira . SAMIA MUST GO, SEPTEMBER 23 TO REMEMBER.
Tuunge mkono maandamano kwa pamoja bila kujali itikadi zetu tupinge mauaji na utekaji unaoendelea nchini mwetu.
 
lakini maskini ya Mungu vijana wao wengine wapewazika, wengine hawana miguu, mikono, wengine hawawezi tena kutembea viuno vimeteguliwa, wengine hata kumung'unya peremende tena,

na mpaka sasa hivi kuna wengine bado wako mahospitalini, na usumbufu na mzigo ni kwa wazazi dah,

lakini pia hakuna nafuu, ugumu wa maisha ni ule ule dah....

dunia? HURUMA yako iko wapi duni,? dah 🐒
 

Attachments

  • IMG_1974.png
    IMG_1974.png
    5.1 MB · Views: 4
Kumbe wenzetu Kenya kuna chombo Mamlaka huru ya kusimamia utendaji kazi wa jeshi la polisi ?

JMT tunakwama wapi ?

Kumbe wenzetu wana regulatory authority ya ku regulate jinsi ya utendaji kazi wa jeshi la polisi ktk misingi ya haki za binadamu?!

Kwa Mtini tujifunze.
 
Haki Jinai hamkuona kuna Tunahitaji Mamlaka huru ya kusimamia utendaji kazi wa jeshi la polisi nchini ?
Wenzetu Kenya wametuacha kwenye mengi aisee ?!
Hiki kinahitanika haraka nchini.
Ile awareness tu kiwa kikiwepo kitawafanya askari wafanye kazi ktk kuzingatia misingi ya haki za binadamu.

Upinzani na wapenda haki ichukueni hii kama agenda jamani maana tumechelewa kuwa nayo.
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Acha ujinga wewe wamewakataza saa ngapi na wakiwa wapi??
 
Acha ujinga wewe wamewakataza saa ngapi na wakiwa wapi??
gentleman,
acha ukaidi na epuka makasiriko, yatakutokea puani...

zingatia mawaidha ya wazazi acha kiburi na jeuri 🐒
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Wewe umetembea Tanzania nzima ukaona wazazi wakiwakataza vijana wao?Acha upotoshaji mkuu, ni hivii,hata kama upinzani hawafai nadhani kwa mahali CCM ilipowafikisha Watanzania,ni bora wajaribu upinzani.Tanzania haijawahi kuwa kwenye wakati tete kama chini ya Samia.It is unprecedented.
 
Wewe imetembea Tanzania nzima ukaona wazazi wakiwakataza vijana wao?Acha upotoshaji Mkuu ni hivii,hata kama upinzani haufai nadhani Kwa mahalo CCM ilipowafikisha Watanzania,ni bora wajaribu upinzani.Tanzania haijawahi kuwa kwenye wakati tete kama chini ya Samia.It is unprecedented.
kuna mambo kamwe hayajaribiwi ndugu mwanainchi, hilo ni muhimu zaid kuelewa..

hata hivyo,
mambo mengi humu tunaeleza baada ya tafiti. kama kijana kaamua kukaidia kwa kiburi na jeuri yake mawaidha hayo muhimu sana ya wazazi wake kwa afya na uhai wake mwenyewe basi aagane na nyonga...

suala la umoja, amani na utulivu wa wananchi, ni jambo la Kitaifa sio kwajili ya chama au kikundi Fulani cha watu 🐒
 
kuna mambo kamwe hayajaribiwi ndugu mwanainchi, hilo ni muhimu zaid kuelewa..

hata hivyo,
mambo mengi humu tunaeleza baada ya tafiti. kama kijana kaamua kukaidia kwa kiburi na jeuri yake mawaidha hayo muhimu sana ya wazazi wake kwa afya na uhai wake mwenyewe basi aagane na nyonga...

suala la umoja, amani na utulivu wa wananchi, ni jambo la Kitaifa sio kwajili ya chama au kikundi Fulani cha watu 🐒
Mkuu vipi wewee,hivi kwa akili zako unadhani Tanzania kuna amani,usijidanganye mkuu,Tanzania hakuna amani kabisa.Amani inatoka moyoni.Sasa hivi kila Mtanzania anawaza who is next kutekwa,kuna amani kweli hapo.Acheni kuwadanganya Watanzania.Amani itakuwepo tu kama Watanzania watatawaliwa na kuongozwa kwa haki,bila haki ni swala la muda tu,majambia yatatembea.
 
Mkuu vipi wewee,hivi kwa akili zako unadhani Tanzania kuna amani,usijidanganye mkuu,Tanzania hakuna amani kabisa.Amani inatoka moyoni.Sasa hivi kila Mtanzania anawaza who is next kutekwa,kuna amani kweli hapo.Acheni kuwadanganya Watanzania.Amani itakuwepo tu kama Watanzania wataacha kutawaliwa na kuongozwa kwa haki,bila haki ni swala la muda tu,majambia yatatembea.
ndugu mwanainchi,
ukikosa amani wewe binafsi, na pengine kwenye familia au jamii yako, haina maana Tanzania hakuna Amani. tafuta namna binafsi ya kupata amani yako sio kusingizia wengine...

Tanzania ni nchi ya umoja, amani na utulivu, na amani hiyo wazalendo tutailinda kwa nguvu zote na gharama yoyote ilie dhidi ya wanaojatibu kuitikisi kwa manufaa yao binafsi..

katika hotuba ya nzito na muhimu sana kitaifa na kimataifa, Rais na kipenzi cha waTanzania Dr.samia Suluhu Hassan aimezungumza vyema kwa kirefu na kwa uwazi sana kuhusu hilo..

hayo ya kutekana na kuuana.
kama Taifa inafaa tuungane kuwaombea ndugu zetu hao wa chama chenye uchaguzi unaoendelea, waache chuki, uhasama na kuuana, wamalize salama uchaguzi wa nafasi za Juu uliobaki kwa salama na amani 🐒
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Kikao kimekaa wapi sisi wazazi tusijue
 
ndugu mwanainchi,
ukikosa amani wewe binafsi, na pengine kwenye familia au jamii yako, haina maana Tanzania hakuna Amani. tafuta namna binafsi ya kupata amani yako sio kusingizia wengine...

Tanzania ni nchi ya umoja, amani na utulivu, na amani hiyo wazalendo tutailinda kwa nguvu zote na gharama yoyote ilie dhidi ya wanaojatibu kuitikisi kwa manufaa yao binafsi..

katika hotuba ya nzito na muhimu sana kitaifa na kimataifa, Rais na kipenzi cha waTanzania Dr.samia Suluhu Hassan aimezungumza vyema kwa kirefu na kwa uwazi sana kuhusu hilo..

hayo ya kutekana na kuuana.
kama Taifa inafaa tuungane kuwaombea ndugu zetu hao wa chama chenye uchaguzi unaoendelea, waache chuki, uhasama na kuuana, wamalize salama uchaguzi wa nafasi za Juu uliobaki kwa salama na amani 🐒
Kwa mambo yanayotokea Tanzania sasa,you can't tell me there is a peaceful person,huyo atakuwa Zombie.
 
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,

Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...

Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...

Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....

Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?

Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...

Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania..
Wazazi tafadhari tuheshimiane, tusishikiane akili. Wazazi kama Hawa huwa ndiyo chanzo hata cha kuharibu ndoa za watoto wao.
 
Back
Top Bottom