Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eh ! Wameshaonywa eti na pia sio kosa kuandamana ila shida ni kwamba hakuna maandamano yaliyokuwa salamaumeongea kwa uwazi na uchungu jambo la maana, zito na muhimu sana la kitaifa dah!
akili kumkichwa 👊
Umeuwawaa hapo ulipo angalia maisha yako acha ujinga je ukiuliwa hiyo siku sasaWe na Lucas akili moja. Sasa we mzazi sawa umenipa chakula umenisomesha. Je ni sawa nitekwe niuwawe?
Haya nendeniNi matakwa ya mtu halazimishwi mtu kwenda wala hufuatwi nyumbani kwako ila kwenda ni bora zaidi.
acha uongo na upotoshaji gentleman,We na Lucas akili moja. Sasa we mzazi sawa umenipa chakula umenisomesha. Je ni sawa nitekwe niuwawe?
Nawe uje kwa maslahi ya taifa, kwa wenye maslahi na ccm wasije wabaki wakiyapinga.Haya nendeni
MImi nimezaliwa mwenyewe sijazaliwa na taifaNawe uje kwa maslahi ya taifa, kwa wenye maslahi na ccm wasije wabaki wakiyapinga.
Fanya yako yasiyokuhusu achana nayo.MImi nimezaliwa mwenyewe sijazaliwa na taifa
Nyie ndio wale mnaitwa na matatizo hayaFanya yako yasiyokuhusu achana nayo.
Hao wazazi ni feki wanashindwa kuwaonya wasiojulikana wanao teka nakupoteza watu? Ama kudhurumu haki ya kuishi, wazazi wa matukio, (wazazi wa kyenye mikamera)hivi Mama Ima huvu Ima ni mwanao kweli na huyo mbaba wa watu au ulimbambikia mtu wa watu kwasababu ya njaa na maisha tu? ila wewe mama Ima umeshindikana?![]()
Nilivyosoma title nikajua ni Lucas MwashambwaLeo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
halafu ikawaje gentleman 🐒Nilivyosoma title nikajua ni Lucas Mwashambwa
Wanajaribu kupima kina cha maji, (people's opinions)Wazazi wangapi?? Unajua nyie machawa ndio mnayutuyumbisha na magenge yenu.
usidharau, usikatae wazazi au walezi hata kama ni wazee sana au walemavu,Sema wazaz wako usitusemee sisi
Ccm wamefanya yao lengo kuwatisha wengine.usidharau, usikatae wazazi au walezi hata kama ni wazee sana au walemavu,
wazazi ni wazazi tu, wazazi ni neema na Baraka za Mungu, ukaidi na kiburi visije kukuponza acha dharau kwa wazazi, vitakutokea puani baada ya maandamano kama huyu tamaa za wachumba wa wenzie kilichomkuta🐒
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania NILIDHANI HAO WAZA I WANAWAONYA WATEKAJI WANAOWEZA KUWATEKA WATOTO WAO NA KUWAUA
Kwa fasili hiyo hayawezi kuitwa CHADEMA.Ni maandamano ya kupinga vijana wa ccm (chinjachinja) kushindwa hoja na kuteka watu na kuwaua.