Wazazi pangeni muwe na muda na watoto wenu - Archbishop Jude Thaddaeus Ruwa'ichi

Wazazi pangeni muwe na muda na watoto wenu - Archbishop Jude Thaddaeus Ruwa'ichi

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Usipomsikiliza wewe watakuja waharibifu watamsikiliza nae atawasikiliza

Mwenye masikio na asikie

 
Maisha yamebadilika kwa kiasi kikubwa sana hata kama wazazi watapanga mda lakini bado tatizo alijatatuliwa wazazi watapanga mda lakini watoto watakuwa wamechoka au wameshalala.

vuta picha yule mtoto anaesoma English medium unakutana nae road saa 11 anasubiri gari jiulize sasa anaamshwa saa ngapi na anajiandaa saa ngapi .

na kurudi yake kutoka shule ni saa 11 jioni sasa jiulize tena anapata mda gani wa kusoma na kupumzika manaa mitihani inamsubiri

uo mda wa kumskiliza mtoto unaupata wapi na huyo mtoto mda wa kukuelezea wewe matatizo yake anaupata wapi.
 
Screenshot_20220530-153720.jpg
asante askofu, bado hatujasahau mtoto wa Madonna!
 
Back
Top Bottom