Wazazi wa Azory Gwanda wamuomba Rais Samia asaidie kupatikana kwa mtoto wao

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Alisemaje Prof wa J L L N?
"Dissapeared and dead"

Hii ni kauli nyepesi hasa kwa uhai wa mtu kupotea, uhai haulinganishwi na chochote.

Professor huyo tapeli ndio aliahidi juisi waliyoifuata na ndege ya serikali kule Antananarivo ,ni kuwa kule rais anagawa mwenyewe na itaingia mtaani ikishafanyiwa majaribio badala yake akaishia kunywa yeye mwenyewe na walioongozana nae.
 
hiyo tshirt ya kijani imeandikwa Paul, al manusura nimalizie....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…