Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
MimiSource?
Serikali inanunua magoli ya YangaPoleni sana Wazazi wa Azory Gwanda. Ni vema Serikali ikawasaidia.
Taarifa zake zote zimejaa humu JFhebu weka historia fupi ya huyó gwanda watu tujue.alipoteapoteaje?
Taarifa zake zote zimejaa humu JF
Kwa hizi shobo ungekuwa demu ningekuomba uteleziazizi kii huyohapo mkuu
The move to dismiss S-genge. Dunia hiiWazazi hao wamedai kwamba kupotea kwa Azory Gwanda , mtu pekee aliyekuwa tegemeo lao , kumewafanya waishi maisha ya dhiki na ufukara mkubwa
View attachment 2818764
Wameomba Rais ambaye ndiye mkuu wa vikosi vyote awasaidie kupatikana kwa mtoto wao ili aendelee kuwatunza .
"Dissapeared and dead"Alisemaje Prof wa J L L N?
hiyo tshirt ya kijani imeandikwa Paul, al manusura nimalizie....Wazazi hao wamedai kwamba kupotea kwa Azory Gwanda , mtu pekee aliyekuwa tegemeo lao , kumewafanya waishi maisha ya dhiki na ufukara mkubwa
View attachment 2818764
Wameomba Rais ambaye ndiye mkuu wa vikosi vyote awasaidie kupatikana kwa mtoto wao ili aendelee kuwatunza .
Acha Magufuli afe leo tungelijuwa JahanamuKazi chafu za Magufuli hizo. Alidhani yeye ataishi milele