Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Kwani kaenda wapi ?kwahio wanahisi anaweza kupatikana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kaenda wapi ?kwahio wanahisi anaweza kupatikana?
Bora wafanya hata uchunguzi wa magumashi ili watu waridhike.Wazazi hao wamedai kwamba kupotea kwa Azory Gwanda , mtu pekee aliyekuwa tegemeo lao , kumewafanya waishi maisha ya dhiki na ufukara mkubwa
View attachment 2818764
Wameomba Rais ambaye ndiye mkuu wa vikosi vyote awasaidie kupatikana kwa mtoto wao ili aendelee kuwatunza .
Ni dalili mbaya kutokujua matukio na taarifa za Kitaifahebu weka historia fupi ya huyó gwanda watu tujue.alipoteapoteaje?
Damu nzito kuliko majiKwa akili ya kawaida wamekaa wakisubiri huyo mtoto?
Source?
Alisemaje Prof wa J L L N?
kwahio wanahisi anaweza kupatikana?
Chanzo cha uhakika cha habari Duniani
hebu weka historia fupi ya huyó gwanda watu tujue.alipoteapoteaje?
Asije akawaambia WAMUULIZE MAMA YAO..wapeleke kilio chao kwa Makonda.
Bora wafanya hata uchunguzi wa magumashi ili watu waridhike.
Ila mtu mzima kupotea hivi hivi bila kosa inauma sana.
Rais Samia ni msikivu.
Wewe ndio Mwasibu? 🤪Kwa hizi shobo ungekuwa demu ningekuomba utelezi
HakikaNi heri uchunguzi ufanyike na familia waambiwe jambo Moja tu kuwa mtoto wao kafariki ili familia ijue kuliko kuendelea kukaa kimya
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
hakuliwa nafisi kweli?
Alaniwe Jiwe na wote aliokuwa anawatuma.
Peleka ilo tangazolako Kwenye tv pia kunakipindi wanaonyesha ndugu waliopotea itasaidia wahusika kupata taarifa waende waka muulize makonda...wote waliopoteza ndugu zao wakati wa utawala wa Jpm wajitokeze kwenye mikutano ya Makonda kudai haki itendeke.