Wazazi wa kiafrika wanaakili tofauti kabisa na wazazi wa kiyahudi kwenye suala la uchumi wa mtoto.

Wazazi wa kiafrika wanaakili tofauti kabisa na wazazi wa kiyahudi kwenye suala la uchumi wa mtoto.

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kitabu cha kiyahudi Tanakh au Miqra kinatoa siri kubwa kwa familia zao kuhusu Uchumi. Baba huwa anapoingia kutafuta huwa anatafuta kwa sio tu kwa ajili yake bali kwa ajili ya wajukuu na vitukuu. Anaandaa mifumo kuhakikisha anaacha utajiri mkubwa kwa ajili ya watoto na wajukuu.

Mithali 13:22
Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi;


Waafrika hasa sisi wabongo Tunawategeshea watoto ili wao ndio waje watulee na kututunza tukizeeka.
Tunawageuza kama chanzo cha mapato bqadae badala ya kuwaandalia mifumo ya wenyewe kupata urithi wa kuendesha maisha yao na watoto wao.


Ni hayo tu.
 
Kitabu cha kiyahudi Tanakh au Miqra kinatoa siri kubwa kwa familia zao kuhusu Uchumi. Baba huwa anapoingia kutafuta huwa anatafuta kwa sio tu kwa ajili yake bali kwa ajili ya wajukuu na vitukuu. Anaandaa mifumo kuhakikisha anaacha utajiri mkubwa kwa ajili ya watoto na wajukuu.

Mithali 13:22
Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi;


Waafrika hasa sisi wabongo Tunawategeshea watoto ili wao ndio waje watulee na kututunza tukizeeka.
Tunawageuza kama chanzo cha mapato bqadae badala ya kuwaandalia mifumo ya wenyewe kupata urithi wa kuendesha maisha yao na watoto wao.


Ni hayo tu.
Kwa mstiki hiyo hamna myahudi masikini? Au ni mhemuko wa dini ndo unakusumbua
 
Kwa mstiki hiyo hamna myahudi masikini? Au ni mhemuko wa dini ndo unakusumbua
Maskini wapo kila kona na katika kila jamii. Lakini mindset ya masikini alinayeamini kuwa anatakiwa kusaidia watoto na wajukuu kwa kuwaachia urithi no tofauti na ya maskini wa kibongo anayevizia mahari ya mtoto wake ndio atoboe kimaisha.
 
Kwanza kabisa wayahudi ni wapumbavu fulani ambao wanaikalia ardhi ya palestina kimabavu kwa msaada wa us hatupaswi kujifunza kutoka kwao kwa chochote
.
Hawa ni wale wa kisasa ambao walikuja hapo baada ya kujikusanya kutokea Ulaya, Ila hapo waliwahi kuwepo zamani zaidi. Kwao bado kuna vitu tunajifunza japp mimi hawa huwa siwahusishi na mambo ya kiroho zaidi ya kisiasa.
 
elewa history yao kwanza kabla hujaleta mada. watu waliweza kutengeza meli karne 9 ndio hao unatulinganisha na sisi.Jitahidi kutafakari kwanza kabla kuandika.,Usikurupuke tu
 
Hawa ni wale wa kisasa ambao walikuja hapo baada ya kujikusanya kutokea Ulaya, Ila hapo waliwahi kuwepo zamani zaidi. Kwao bado kuna vitu tunajifunza japp mimi hawa huwa siwahusishi na mambo ya kiroho zaidi ya kisiasa.
Mkuu hilo swala la kiroho ulishindwa kulithibitisha ujue?
 
elewa history yao kwanza kabla hujaleta mada. watu waliweza kutengeza meli karne 9 ndio hao unatulinganisha na sisi.Jitahidi kutafakari kwanza kabla kuandika.,Usikurupuke tu
Kwani nani alituzuia mkuu
 
Thibitisha kwamba kiroho ipo?
Kiroho namaanisha ulimwengu wa imani. Ulimwengu wa uhakika wa visivyoonekana.

Hata wewe ni uthibitisho wa kiroho, maana unaokenana lakini chembechembe zinazounda uwepo wako ni microscopic tena ukizizoom sana no vitu ambavyo haionekani kwa macho lakini tunaamini vipo kwa sababu wewe upo. Sisi watu wa kiroho tunaamini katika level ya reality ya invisible.
 
waafrika ni jamii ya watu wa ovyo zaidi kwenye ulimwengu
 
Back
Top Bottom