Bodaboda ukizingua hata uwe na backup ya mabodaboda wenzio elfu tisini ukizingua serikali inauwezo wa kukunyatia kimyakimya wewe pekee yako ukiwa kwenu ukafinywa au kunyakuliwa na huna kitu utafanya. Don't mess with gvt ikitumia vyombo vyake kikamilifu kwà kufwata sheria !!!