Wazazi wajaa Shule ya Mburahati kuwachukua Watoto, hofu ya kutekwa baada ya Noah nyeusi kuonekana

Wazazi wajaa Shule ya Mburahati kuwachukua Watoto, hofu ya kutekwa baada ya Noah nyeusi kuonekana

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
photo_2024-07-22_14-58-12.jpg

photo_2024-07-22_15-06-07.jpg
Baadhi ya Wazazi na Walezi wenye Watoto katika Shule Msingi Mburahati wamefika shuleni hapo mchana wa leo Julai 22, 2024 kwa lengo la kuwafuata Watoto wao kutokana na hofu iliyotanda ikidaiwa kuna Watu wanania ya kuwateka

Inadaiwa kulitokea gari ain ya Noah nyeusi ambayo haina namba iliyokuwa karibu na maeneo ya Shule, hali hiyo ikawashtua baadhi ya watu na kuanza kupeana taarifa juu ya uwepo wa gari hiyo ambayo baada ya muda iliondoka

Baada ya taarifa hiyo kusambaa Wazazi na Walezi wakakusanyika eneo la shule wakitaka kujua kama watoto wao wapo salama, wakazuiwa getini.

Idadi ilipoongezeka uongozi wa Shule ukaita Jeshi la Polisi kusaidia kuwatuliza Wazazi na Walezi, ambapo wakaanza kuwatoa Watoto, wakatumia Spika kuita majina ya Watoto kisha Mzazi au Mlezi anaingia ndani anathitishwa kama ndiye mwenye Mtoto anamchukua na kuondoka.

Watoto ambao hawakuwa na watu waliokuja kuwachukua wakalazimika kubaki Shuleni kwa muda
 
Baadhi ya Wazazi na Walezi wenye Watoto katika Shule Msingi Mburahati wamefika shuleni hapo mchana wa leo Julai 22, 2024 kwa lengo la kuwafuata Watoto wao kutokana na hofu iliyotanda ikidaiwa kuna Watu wanania ya kuwateka

Inadaiwa kulitokea gari ain ya Noah nyeusi ambayo haina namba iliyokuwa karibu na maeneo ya Shule, hali hiyo ikawashtua baadhi ya watu na kuanza kupeana taarifa juu ya uwepo wa gari hiyo ambayo baada ya muda iliondoka

Baada ya taarifa hiyo kusambaa Wazazi na Walezi wakakusanyika eneo la shule wakitaka kujua kama watoto wao wapo salama, wakazuiwa getini.

Idadi ilipoongezeka uongozi wa Shule ukaita Jeshi la Polisi kusaidia kuwatuliza Wazazi na Walezi, ambapo wakaanza kuwatoa Watoto, wakatumia Spika kuita majina ya Watoto kisha Mzazi au Mlezi anaingia ndani anathitishwa kama ndiye mwenye Mtoto anamchukua na kuondoka.

Watoto ambao hawakuwa na watu waliokuja kuwachukua wakalazimika kubaki Shuleni kwa muda
Hii Nchi hii, Yaani hii Noah Nyeusi inaibuka na kupotea kila baada ya muda fulani!
 
Huu upumbavu wa kutekana ni matokeo ya uongozi mbovu wa CCM, jeshi dhaifu la Polisi na TISS ambao hawahidumii wananchi ila viongozi wa CCM
 
Mliambiwa mpige kelele kwa nguvu kuwadhibiti wasiojulikana mkapuuzia mkafikiri hiyo ni kazi ya Lissu, Lema na Mbowe - Haya sasa wasiojulikana wamebadikisha mikakati - this time naona tunapambana pamoja.

Utamu wa ngoma...
 
Ni watoto wa kike wanatekwa au hata watoto wa kiume 😳😳😳
 
Baadhi ya Wazazi na Walezi wenye Watoto katika Shule Msingi Mburahati wamefika shuleni hapo mchana wa leo Julai 22, 2024 kwa lengo la kuwafuata Watoto wao kutokana na hofu iliyotanda ikidaiwa kuna Watu wanania ya kuwateka

Inadaiwa kulitokea gari ain ya Noah nyeusi ambayo haina namba iliyokuwa karibu na maeneo ya Shule, hali hiyo ikawashtua baadhi ya watu na kuanza kupeana taarifa juu ya uwepo wa gari hiyo ambayo baada ya muda iliondoka

Baada ya taarifa hiyo kusambaa Wazazi na Walezi wakakusanyika eneo la shule wakitaka kujua kama watoto wao wapo salama, wakazuiwa getini.

Idadi ilipoongezeka uongozi wa Shule ukaita Jeshi la Polisi kusaidia kuwatuliza Wazazi na Walezi, ambapo wakaanza kuwatoa Watoto, wakatumia Spika kuita majina ya Watoto kisha Mzazi au Mlezi anaingia ndani anathitishwa kama ndiye mwenye Mtoto anamchukua na kuondoka.

Watoto ambao hawakuwa na watu waliokuja kuwachukua wakalazimika kubaki Shuleni kwa muda
Hii Noah yangu sijui niibadili tu rangi au niiuze tu maana ishakuwa noma kunasiku naweza chomwa moto kisa kumiriki Noah nyeusi
 
Uchungu wa mwana aujuae mzazi,,sema wazazi nao sisi tujitaidi kutokulea watekaji...

Amna mtu anaependa kuishi kwa wasiwasi hii itapelekea hata kuibuka kwa uhuni wa kishamba.
 
Kwa hali ilivo sasa wenye watu ni roho juu muda wote, ewe allah tunusuru na janga hili, tulindie watoto wetu. Mungu waangamize wote wanaofanya uovu.
 
Lissu alipokuwa anafuatiliwa na gari aliyotilia shaka akapuuzwa hata aliposhambuliwa wakageuza story zikawa nyingi huku hakuna aliyeshambulia aliweza kupatikana hadi leo.

Watu wamepotea Boniface na Malisa waliripoti mwisho wakafunguliwa kesi.

Watu wametekwa kwa kukosoa , wengine walirudi wengine haijulikani walipo tunaambiwa ni drama za watu kujiteka.

Hadi atekwe nani ndio iaminike?
 
Baadhi ya Wazazi na Walezi wenye Watoto katika Shule Msingi Mburahati wamefika shuleni hapo mchana wa leo Julai 22, 2024 kwa lengo la kuwafuata Watoto wao kutokana na hofu iliyotanda ikidaiwa kuna Watu wanania ya kuwateka

Inadaiwa kulitokea gari ain ya Noah nyeusi ambayo haina namba iliyokuwa karibu na maeneo ya Shule, hali hiyo ikawashtua baadhi ya watu na kuanza kupeana taarifa juu ya uwepo wa gari hiyo ambayo baada ya muda iliondoka

Baada ya taarifa hiyo kusambaa Wazazi na Walezi wakakusanyika eneo la shule wakitaka kujua kama watoto wao wapo salama, wakazuiwa getini.

Idadi ilipoongezeka uongozi wa Shule ukaita Jeshi la Polisi kusaidia kuwatuliza Wazazi na Walezi, ambapo wakaanza kuwatoa Watoto, wakatumia Spika kuita majina ya Watoto kisha Mzazi au Mlezi anaingia ndani anathitishwa kama ndiye mwenye Mtoto anamchukua na kuondoka.

Watoto ambao hawakuwa na watu waliokuja kuwachukua wakalazimika kubaki Shuleni kwa muda
Siku nyingine noah nyeusi isiyo na namba ikionekana, izingirwe kwanza..!!
 
Back
Top Bottom