Wazazi wakataa sadaka ya kuchinja iliyotolewa na Waarabu, wakidai watoto wao watatolewa kafara

Wazazi wakataa sadaka ya kuchinja iliyotolewa na Waarabu, wakidai watoto wao watatolewa kafara

Hizo nyama watuletee Gongo la mboto tuchomee tuagize na pombe tule
 
Bado kuna washamba wengi mno Afrika [emoji16][emoji16] sasa nyama ina shida gani!!! Wa2 wanashida wanakula mlo mmoja kwa siku wao wanaringa, Wanafikiri wamekuja kwa nia mbaya, kuna watu wana imani potofu dahh.


Ndugu ze2 wamisry wawe makini sanaa kwa hawa viumbe wacojierewa, iyo mboga wanawapa lakinii nahofia wasiende kuitupa tuuu.
Unampaje mtu msaada na maelekezo ya jinsi ya kuutumia?
 
Mnachekesha na kujiaibisha [emoji16] ungelijuwa Tanzania ina waislamu wengi kuliko wakristo wala usingeongea haya. Pwani yote waislamu ni wengi kuliko wakristo, kwanzia dar, tanga na pwani yote kwa ujumla waislamu ni wengi. Kanda ya ziwa, Shinyanga, bukoba na Mwanza pia kuna waislamu wengi, labda vijijini huko bado bado wako kwenye sehemu ya ujinga kwa maana still hawakuuona ukweli.

Ukija kanda ya magharibi, Tabora, kigoma ina waislamu wengi sana

Ukija Singida ni balaa, waislamu ni wengi sana


Huko machame nackia waislamu ni wengi mno, ndugu yangu katika imani ata2pa ukweli maana ni mtu wa huko machame kimsboy

Znz ndiyo ucseme asilimia zaidi ya 90% ni waislamu

Kwa hesabu ya haraka, waislamu ni zaidi ya asilimia 70%, wakifuatiwa na wakristu, kisha wapagani.






Kweli kabisa, hapo tatizo ni waarabu,,,wangelikuwa wale makafiri wenzao wa ulaya wasingelalamika na kutokwa povu kiac hicho. Mungu awabariki sana waarabu, tuko nyuma yao kwa lolote dhidi ya hao wanaoupiga vita uislamu.
Pelekeni kwa watakatifu wenzenu hao Makafiri mnawapa misaada ya nini wakati hawamjui ALA?
 
Unampaje mtu msaada na maelekezo ya jinsi ya kuutumia?

Kuna maelekezo gani wamepewa zaidi ya kula!!!! Acheni kuwapakazia uongo,,,,hii co mara yakwanza waarabu/waturuki kugawa sadaka kwa masikini.


Yani nyie mna tabu sana,,mnadhani waarabu/waisilamu kama ninyi miongoni mwenu mnaojitoa mikafara kisa mpate utajiri!!! Hao wanahofu na Allah bwana
 
Jibu swali

Hamuna hoja za kubishana na waisilamu mkuu. Heri yao wamejitokeza kusaidia haijalishi waliowapatia imani gani hao wanafunzi, je kuna kanisa au waco waisilamu kutoka ulaya waliojitokeza kupeleka hata kuku pale? Narudia tena, hapo tatizo waarabu/uislamu. Hizo chuki hazitawasaidia chochote bali zinawaumiza na kuendelea kuwatesa. Poleni sana.


وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ


Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.


الحمد الله: وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ

Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?


الحمد الله: إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا وَمَاتُوا وَهُمْ كُفَّارٌ أُولَٰئِكَ عَلَيْهِمْ لَعْنَةُ اللَّهِ وَالْمَلَائِكَةِ وَالنَّاسِ أَجْمَعِينَ

Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu wote.


الحمد الله: خَالِدِينَ فِيهَا ۖ لَا يُخَفَّفُ عَنْهُمُ الْعَذَابُ وَلَا هُمْ يُنْظَرُونَ

Watadumu humo. Hawata-punguziwa adhabu wala hawatapewa muda wa kupumzika.


الحمد الله: وَإِلَٰهُكُمْ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۖ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ الرَّحْمَٰنُ الرَّحِيمُ

Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
 
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ


Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
Nahis hii aya ilihususu watu wa nje na bongo. Maana kati ya nchi ambazo hazipendi makuu na watu kwenye mishe za iman bongo nayo imo mfano machinjio zote wanaochinja ni waislam na hujawai sikia wakristu au wapagani wa kibongo wakilalamika ya tumechukulia hio kama tamaduni
 
Mnachekesha na kujiaibisha [emoji16] ungelijuwa Tanzania ina waislamu wengi kuliko wakristo wala usingeongea haya. Pwani yote waislamu ni wengi kuliko wakristo, kwanzia dar, tanga na pwani yote kwa ujumla waislamu ni wengi. Kanda ya ziwa, Shinyanga, bukoba na Mwanza pia kuna waislamu wengi, labda vijijini huko bado bado wako kwenye sehemu ya ujinga kwa maana still hawakuuona ukweli.

Ukija kanda ya magharibi, Tabora, kigoma ina waislamu wengi sana

Ukija Singida ni balaa, waislamu ni wengi sana


Huko machame nackia waislamu ni wengi mno, ndugu yangu katika imani ata2pa ukweli maana ni mtu wa huko machame kimsboy

Znz ndiyo ucseme asilimia zaidi ya 90% ni waislamu

Kwa hesabu ya haraka, waislamu ni zaidi ya asilimia 70%, wakifuatiwa na wakristu, kisha wapagani.






Kweli kabisa, hapo tatizo ni waarabu,,,wangelikuwa wale makafiri wenzao wa ulaya wasingelalamika na kutokwa povu kiac hicho. Mungu awabariki sana waarabu, tuko nyuma yao kwa lolote dhidi ya hao wanaoupiga vita uislamu.
Leta takwimu acha kuongea kama demu anayeombwa mzigo..wewe mtu mzima naamini msomi..tunataka data sio kupwapwaja tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nahis hii aya ilihususu watu wa nje na bongo. Maana kati ya nchi ambazo hazipendi makuu na watu kwenye mishe za iman bongo nayo imo mfano machinjio zote wanaochinja ni waislam na hujawai sikia wakristu au wapagani wa kibongo wakilalamika ya tumechukulia hio kama tamaduni

Mkuu hii aya inawahusu wote wasiyo waislamu.


Kwa hapa kwetu kuna wakristo wengi sana hawali nyamafu, kwa maana mpaka wachinjiwe na muislamu. Nchi zingine kama south afrika, ghana, angola n.k sifahamu.
 
Hao wazazi wanajitambua sana,Bora zingekua kuku ila sadaka ya ng'ombe,mbuzi au kondoo lazima iende na mtu
 
Hao wazazi wanajitambua sana,Bora zingekua kuku ila sadaka ya ng'ombe,mbuzi au kondoo lazima iende na mtu

Imani za kishirikina hizo,,,wale ni waarabu/waislamu hawana huo upumbafu wakutoana kafara kama walivyo wengine huku.
 
kuna
Naona kawachimba mkwara kwamba mchango wa chakula ni lazima ama la waruhusu watoto wale nyama.
mmoja katoa mawazo mazuri kuwa kama wao wema wabadilishe matumizi badala ya kula nyama kwa siku moja wawajengee ukuta nao ni kama hawataki.
haya ni mazingira inawezekana yakawa ya kafara na si lazima wafe watoto lakini nani anajua manuizo ya hiyo sadaka na mahusiano ya ardhi ya watoto wetu watakayogusa.
swala la kumwagika kwa damu si swala la kuchukulia masihara na kirahisi rahisi na hasa mji kama Arusha
 
Hamuna hoja za kubishana na waisilamu mkuu. Heri yao wamejitokeza kusaidia haijalishi waliowapatia imani gani hao wanafunzi, je kuna kanisa au waco waisilamu kutoka ulaya waliojitokeza kupeleka hata kuku pale? Narudia tena, hapo tatizo waarabu/uislamu. Hizo chuki hazitawasaidia chochote bali zinawaumiza na kuendelea kuwatesa. Poleni sana.


وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ


Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.


الحمد الله: وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ

Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?


الحمد الله: إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا وَمَاتُوا وَهُمْ كُفَّارٌ أُولَٰئِكَ عَلَيْهِمْ لَعْنَةُ اللَّهِ وَالْمَلَائِكَةِ وَالنَّاسِ أَجْمَعِينَ

Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu wote.


الحمد الله: خَالِدِينَ فِيهَا ۖ لَا يُخَفَّفُ عَنْهُمُ الْعَذَابُ وَلَا هُمْ يُنْظَرُونَ

Watadumu humo. Hawata-punguziwa adhabu wala hawatapewa muda wa kupumzika.


الحمد الله: وَإِلَٰهُكُمْ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۖ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ الرَّحْمَٰنُ الرَّحِيمُ

Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
Je chakula cha siku moja kitaongeza ufaulu... kwanini wasinge nunua vitabu maana mbuzi mmoja wanapata vitabu vitatu ... kwa idadi hiyo swala la vitabu lingekua historia shuleni ...
 
Hamuna hoja za kubishana na waisilamu mkuu. Heri yao wamejitokeza kusaidia haijalishi waliowapatia imani gani hao wanafunzi, je kuna kanisa au waco waisilamu kutoka ulaya waliojitokeza kupeleka hata kuku pale? Narudia tena, hapo tatizo waarabu/uislamu. Hizo chuki hazitawasaidia chochote bali zinawaumiza na kuendelea kuwatesa. Poleni sana.


وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ


Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.


الحمد الله: وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ

Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?


الحمد الله: إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا وَمَاتُوا وَهُمْ كُفَّارٌ أُولَٰئِكَ عَلَيْهِمْ لَعْنَةُ اللَّهِ وَالْمَلَائِكَةِ وَالنَّاسِ أَجْمَعِينَ

Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu wote.


الحمد الله: خَالِدِينَ فِيهَا ۖ لَا يُخَفَّفُ عَنْهُمُ الْعَذَابُ وَلَا هُمْ يُنْظَرُونَ

Watadumu humo. Hawata-punguziwa adhabu wala hawatapewa muda wa kupumzika.


الحمد الله: وَإِلَٰهُكُمْ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۖ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ الرَّحْمَٰنُ الرَّحِيمُ

Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
Ndio maana jamii imehusianisha msaada na ushirikina kwasababu hawakuona mantiki
 
Ikumbukwe kuwa Wazungu wa Marekani pia wameshatoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya lishe mashuleni......

Hapo napo watazuka watu wa kudai hao ni Freemasons, wengine watasema hivyo vyakula vinaharibu akili za watoto!

Wakiambiwa kuchanga watoto wao wale wanasema eti, 'walimu watakula' hatuwezi kuchanga!

Watoto wanakaa na njaa kutwa mzima. Wakifeli walimu hawafanyi kazi!

Afrika is shit hole!
Kwani wakilishwa hiyo sadaka ndio suluhu ya tatizo la njaa mashuleni. Watoto wetu wanageuzwa miungu.. sadaka hutolewa kwa miungu! Ipo ajenda ya Siri hapo. Why damu? Kwa Nini sio mahindi na maharage?
 
Je chakula cha siku moja kitaongeza ufaulu... kwanini wasinge nunua vitabu maana mbuzi mmoja wanapata vitabu vitatu ... kwa idadi hiyo swala la vitabu lingekua historia shuleni ...

Ndiyo maana nikasema kwa sababu wewe siyo muislamu huwezi juwa faida za sadaka/zakaa. Ukiingia kwenye uislamu ndiyo utajuwa yote ayo.

Suala la vitabu wajitokeze na wengine, au hata wewe apo umeona chakula siyo ishu wanunulie bac.
 
Back
Top Bottom