Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
kuna
mmoja katoa mawazo mazuri kuwa kama wao wema wabadilishe matumizi badala ya kula nyama kwa siku moja wawajengee ukuta nao ni kama hawataki.
haya ni mazingira inawezekana yakawa ya kafara na si lazima wafe watoto lakini nani anajua manuizo ya hiyo sadaka na mahusiano ya ardhi ya watoto wetu watakayogusa.
swala la kumwagika kwa damu si swala la kuchukulia masihara na kirahisi rahisi na hasa mji kama Arusha
Kafara unaijuwa wewe tuu,,, kwa waarabu/waislamu hicho kitu sijawai kukisikia,,ni huku tuu miongoni mwao wanatoana kafara baba anauwa mwanae au kumchizisha kisa atajirike. Nasema hivi huu upumbafu kwa waarabu/waislamu sijawai sikia mzehe.