Wazazi/walezi tuna-fail wapi?

Wazazi/walezi tuna-fail wapi?

Dr Lizzy

Platinum Member
Joined
May 25, 2009
Posts
31,009
Reaction score
60,629
Baada ya ajali ya moto uliochoma shule Kagera jana kuua watoto 10 na kujeruhi 7 wa kati ya miaka 6 - 10 ๐Ÿ™๐Ÿ™ (May their little souls Rest in Heaven ๐Ÿ‘ผ๐Ÿ‘ผ)

Naomba kuwauliza wanajamii wenzangu, je ni wakati gani kama mzazi/mlezi unaweza sema "It can't be helped. Mtoto NI LAZIMA aende boarding school."?

Ina maana tunakosa kabisa namna ya kuendelea kuishi na watoto wetu majumbani, chini ya uangalizi wetu wakaenda shule asubuhi na kurudi jioni kiasi cha kuwakimbiza boarding school wakiwa bado wadogo sana? Tukishawakimbiza boarding school katika umri huo mdogo, ni lini utapatikana muda wa kukaa nao na kuwajenga kihisia, kitabia na kiakili kama wazazi?

Hatuoni kama tunawapunja sana hawa watoto? Ama hata sisi wenyewe kwa kutoshiriki kikamilifu katika ukuaji wao?

๐Ÿ™‡โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™‡โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™‡โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™‡โ€โ™€๏ธ
 
Wazazi wengi wa kisasa wanaona wako bize na majukumu hali inayopelekea wawapeleke boarding schools watoto wadogo, ni sawa atleast kuanzia miaka 14 na kuendelea japokuwa majanga hayakwepeki ila akiwa na umri huu kidogo anaweza kujipambania,...ni Bora mtoto akaenda asubuh na kurudiana jioni nyumban...
 
Hizi shule za watoto Zina majanga Sana, Kuna shule flani mkoa..(. ....)nilipo mtoto wa miaka 7 kakutwa na SUMU anataka kutia kwenye chakula Cha watoto wa darasa la nne na akakamatwa na hiyo SUMU, imagine angefanikiwa kingetokea Nini? Aliulizwa na akataja mtu aliyemtuma..
 
Ni kweli kabisa mtoto mdogo kupelekwa boarding ni kama unyanyasaji tu, hata kama shule iwe nzuri kiasi gani au iwe ina jali kiasi gani lakini haiwezi fikia hata nusu malezi ya wazazi/walezi nyumbani

Thought kipindi nasoma primary nilikua nikiona wenzangu wapo boarding nilikua naona kama wanaenjoy sana na wanaishi vizur mno na nilitamani na mimi nipelekwe boarding kama wao, mawazo ya utoto bana[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hizi shule za watoto Zina majanga Sana, Kuna shule flani mkoa..(. ....)nilipo mtoto wa miaka 7 kakutwa na SUMU anataka kutia kwenye chakula Cha watoto wa darasa la nne na akakamatwa na hiyo SUMU, imagine angefanikiwa kingetokea Nini? Aliulizwa na akataja mtu aliyemtuma..

Uwiiii[emoji2304][emoji2304][emoji2304]
 
Hizi shule za watoto Zina majanga Sana, Kuna shule flani mkoa..(. ....)nilipo mtoto wa miaka 7 kakutwa na SUMU anataka kutia kwenye chakula Cha watoto wa darasa la nne na akakamatwa na hiyo SUMU, imagine angefanikiwa kingetokea Nini? Aliulizwa na akataja mtu aliyemtuma..
Daah mbona hatari sana hio..
 
Watoto wengi wanazaliwa 'ki bahati mbaya'..
Sasa zoezi la kuwalea linakuwa mshikemshike..
Hata mda Tu wa kuwa nao shida.
Likizo ya Corona Tu wazazi walijuta kukaa na watoto wao...
Very true ๐Ÿ˜•๐Ÿ˜•

Kuna umuhimu wa kuiga kuzaa kwa mipango kutoka kwa wenzetu wa Magharibi. Watu wawe wanaamua kuzaa wanapokuwa tayari kuwa responsible ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ฏ badala ya watu kuzaa ili kuendeleza trend ama kufurahisha jamii na mwishowe kufelisha vizazi vijavyo.
 
Ubize wa wazazi unasababisha yote haya, ilipaswa atleast mtoto awe na miaka kuanzia 12 japo majanga yanapotokea huwa hayaangalii umri

Kwani mzazi akiwa busy anaondoka na nyumba??? Yani kazi za saa 8 - 17 ndo zisababishe watoto waondoke nyumbani up to 3 months at a time???

Mwingine unakuta mtoto kambwaga boarding school na yeye kajiwekea maid nyumbani. Like seriously.....?๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”
 
Ni kweli kabisa mtoto mdogo kupelekwa boarding ni kama unyanyasaji tu, hata kama shule iwe nzuri kiasi gani au iwe ina jali kiasi gani lakini haiwezi fikia hata nusu malezi ya wazazi/walezi nyumbani

Thought kipindi nasoma primary nilikua nikiona wenzangu wapo boarding nilikua naona kama wanaenjoy sana na wanaishi vizur mno na nilitamani na mimi nipelekwe boarding kama wao, mawazo ya utoto bana[emoji1][emoji1][emoji1]

๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ
Laiti ungejua ......๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Ratiba ya kuamka yenyewe utadhani watoto wako jeshini maskini ๐Ÿ˜”

Ila kusema ukweli sidhani kama kuna kitu kikubwa tumemiss ambao hatukuwahi kwenda board ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Ni kweli kabisa mtoto mdogo kupelekwa boarding ni kama unyanyasaji tu, hata kama shule iwe nzuri kiasi gani au iwe ina jali kiasi gani lakini haiwezi fikia hata nusu malezi ya wazazi/walezi nyumbani

Thought kipindi nasoma primary nilikua nikiona wenzangu wapo boarding nilikua naona kama wanaenjoy sana na wanaishi vizur mno na nilitamani na mimi nipelekwe boarding kama wao, mawazo ya utoto bana[emoji1][emoji1][emoji1]
Utoto raha
 
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Laiti ungejua ......[emoji38][emoji38][emoji38]

Ratiba ya kuamka yenyewe utadhani watoto wako jeshini maskini [emoji17]

Ila kusema ukweli sidhani kama kuna kitu kikubwa tumemiss ambao hatukuwahi kwenda board [emoji57][emoji57]
Hakuna hata cha maana ulichomiss
 
Point kubwa sana. Kila aliye mzazi lazima alofikirie hili jambo. Yawezekana tukaliona ni dogo lakini kwa upande wangu mimi niko mlengo wa mtoa maada.
 
Back
Top Bottom